Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Freedom? From what? We were liberated only to be captured again!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What freedom is that fool talking about?
Or he meant to say independence?
Sasa haujaelewa nini. Kama unaona hasira jitundike
tupo ktk ukoloni mamboleo... kibiashara, kiuchumi na kisiasa....
Mungu mbariki Msigwa .
Ili tuendelee kuwa watumwa ?Karibuni ccm
Mshaurini ahamie somalia kule kuna Uhuru bwerereMungu mbariki Msigwa .
Hamna no chama bora Kwa sasaIli tuendelee kuwa watumwa ?
Ampe na ufahamu wa kujitambua aache kuropoka hovyo na kutafuta kiki za kijingaMungu mbariki Msigwa .
Kwann unamtukana?
Mbona ungeweza kuandika tu bila matusi.
Ustaarabu wako umefikia huku siku hizi Nyan
Msigwa ni mpuuzi sana.
Kadanganya nni??? Miaka 50 maisha magumu hivi alafu mnasema mko huru ..... Unasahau 60% hawana maji safi na salama nchi nzima uhuru my footMsigwa ni mpuuzi sana.
Huyo Msigwa ni mpuuzi mkubwa.Kadanganya nni??? Miaka 50 maisha magumu hivi alafu mnasema mko huru ..... Unasahau 60% hawana maji safi na salama nchi nzima uhuru my foot
Kafanya upuuzi gani mkuu?Msigwa ni mpuuzi sana.
Kafanya upuuzi kwa kuongea kipuuzi.Kafanya upuuzi gani mkuu?
Ndio useme upuuzi wake upi??? Kwani uongo alichosema!!! Kuna watu wanaishi chini ya dollar moja kwa cku wengine wanashindia mlo moja.... Sasa kuna tofauti gani ya uhuru na kabla ya uhuru!!! Jibu kwa hoja sio matusiHuyo Msigwa ni mpuuzi mkubwa.
Msigwa bado ni kijana mdogo na ni mpuuzi sana. Hajui aongealo.Ndio useme upuuzi wake upi??? Kwani uongo alichosema!!! Kuna watu wanaishi chini ya dollar moja kwa cku wengine wanashindia mlo moja.... Sasa kuna tofauti gani ya uhuru na kabla ya uhuru!!! Jibu kwa hoja sio matusi
Msigwa ni mpuuzi sana.
Manyani katika ubora wenu wa ndiyoooo