Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,892
- 33,447
Lisu hajui siasa mkuu, ni mbumbmbu wa siasa!Sidhani kama kurushiana maneno huku kunasaidia upinzani, ilipaswa tuwe wamoja kuelekea 2025 ila kama tunagawanyika hivi hyo tume huru tutaidai vp bungeni.
Kama ambavyo ACT hawakuingilia suala la kina Mdee nadhani CHADEMA nao wangepotezea suala la Maalim maana ni chama chao wana uhuru wa kujiamulia.
Lissu kma presidential aspirant hakupaswa kuchukua upande mapema hivi. Angekua neutral tu coz bado ataihitaji Zanzibar uchaguzi wa 2025. Hii misuaguano haisaidii zaidi ya kudhoofisha upinzani tu na kuwapa credit CCM.
Just saying.....
Hukuona wakti wa kampeni alienda Zanzibar akasema chadema haina maslahi na Zanzibar?
Mwacheni Lisu aendelee na uana harakati.