Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #21
Unaonaje ukajinyonga kabisa maana naona una mihasira sana juu ya cdmSasa Halima mdee vipi amekula mavi ya mbwa? Lissu anakula kuku ulaya Lema amewatelekeza Arusha, Mgombea urais wa Chadema kule Zanzibar aliipigia kampeni ccm na aliahidiwa kama angepata 5% vote angepata Uwaziri Zanzibar., Alimsaliti hata mbunge wake wa Chadema aliyesimamishwa kwenye jimbo lake anaitwa Lukman akampigia kampeni Mhe. Juma Hamad Omar ambaye alikuwa CUF zamani baadae akaja akaingia CCM huyu ni Ndugu na Makamo mwenyekiti wa Chadema Kule Pemba Zanzibar.
Na kwa bahati mbaya sana huyu Said Iissa Moh'd bado yupo kama senior leader wa Chadema baada ya Mbowe hukaa yeye kwenye meza za itifaki za chama cha Chadema. Mimi namshangaa sana Msigwa na Lissu hawana muda kuongelea migogoro ndani ya chama chao ya usaliti wanaongelea ACT chama ambacho kina mikakati yake hakiwahusu kabisa.
Na Maalim Seif amesema wazi Tundu Lissu anatumika kwa kiasi kikubwa kuhujumu upinzani Tanzania huko ulaya aliko., alisema hawezi kuja Tanzania kwa sababu waliompiga risasi hawajakamatwa lakini kwa sababu shida ilikuwa ni urais alijitosa akaja lakini jengine la ajabu bada uchaguzi amerudia kwenye hoja yake ya kuuliwa karudi zake belgium. maswali mengi tunajiuliza shida yake ni urais ilikuwa au kweli ana moyo na watanzania? lakini Lema sasa yuko canada wala hana mpang wa kurud tena.
Mimi nadhan Chadema kwanza waangalie boriti kwenye macho yao kuliko kibanz kwenye jicho la Maalim Seif.