Peter Msigwa: Rais kuwaandikia barua Wakuu wa Mikoa kwenye majanga sio sahihi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Hii dhana ya Rais kuwandikia barua za pole wakuu wa mikoa, yanapotokea maafa,, ni kiini macho tu , kwani ni sawa na kujiandikia mwenyewe, ingeleta maana kama angeandikiwa meya / Mwenyekiti wa halmashauri au mbunge husika‬ wa eneo , Mkuu wa mkoa Hana direct touch Na wananchi wa eneo husika kwani ameteuliwa tu!na nimwakilishi wa Rais!
 
Hii dhana ya Rais kuwandikia barua za pole wakuu wa mikoa, yanapotokea maafa,, ni kiini macho tu , kwani ni sawa na kujiandikia mwenyewe, ingeleta maana kama angeandikiwa meya / Mwenyekiti wa halmashauri au mbunge husika‬ wa eneo , Mkuu wa mkoa Hana direct touch Na wananchi wa eneo husika kwani ameteuliwa tu!na nimwakilishi wa Rais!

Huyo Mchungaji na Mbunge Peter Msigwa ina maana hajui kuwa Rais ni Taasisi na ina taratibu zake hasa za Kiutendaji? Je Yeye anajuaje kuwa pengine labda Kesho Jumatatu tarehe 8 May 2017 pia na Yeye Mheshimiwa Rais atakuwa ni mmoja wa Watanzania wataokwenda kuwaaga ' Wapendwa ' wetu waliopoteza maisha? Namuheshimu sana Mbunge Peter Msigwa ila kwa hili nadhani ' amekengeuka ' na sikutegemea Mtu kama Yeye ambaye anajua taratibu nyingi tu za ' Kiprotokali ' angekuja na aina hii ya ' upupu '.
 
Huyu rais kila analolofanya linapingwa tu.
Upinzani wa kuibua hoja zilizoleta mijadala mikali nchini haupo uliishia enzi za Dr.Slaa na Zitto wa enzi zile.
JPM anapata raha sana wapinzani wake wanaibua hoja za kitoto ambazo hana hata haja ya kuzijibu.
 
Huyo Mchungaji na Mbunge Peter Msigwa ina maana hajui kuwa Rais ni Taasisi na ina taratibu zake hasa za Kiutendaji? Je Yeye anajuaje kuwa pengine labda Kesho Jumatatu tarehe 8 May 2017 pia na Yeye Mheshimiwa Rais atakuwa ni mmoja wa Watanzania wataokwenda kuwaaga ' Wapendwa ' wetu waliopoteza maisha? Namuheshimu sana Mbunge Peter Msigwa ila kwa hili nadhani ' amekengeuka ' na sikutegemea Mtu kama Yeye ambaye anajua taratibu nyingi tu za ' Kiprotokali ' angekuja na aina hii ya ' upupu '.
Amevurugwa na Kasesela
 
Hii dhana ya Rais kuwandikia barua za pole wakuu wa mikoa, yanapotokea maafa,, ni kiini macho tu , kwani ni sawa na kujiandikia mwenyewe, ingeleta maana kama angeandikiwa meya / Mwenyekiti wa halmashauri au mbunge husika‬ wa eneo , Mkuu wa mkoa Hana direct touch Na wananchi wa eneo husika kwani ameteuliwa tu!na nimwakilishi wa Rais!
Inawezekana kusoma sio kuelewa Mh Msigwa. Diwani, Mbunge na mkuu wa mkoa wote ni wana siasa. Mkuu wa mkoa ni zaidi ya Mbunge na Diwani. Kama Hamna hoja sio lazima mtoe hoja katika jamii. Ulitegeme Rais atamtume nani katika janga la kitaifa kama hili?

Mh. Msigwa hapo umefeli, wale wafiwa wanahitaji faraja, sio siasa.
 
Back
Top Bottom