lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Peter Msigwa live chaneli ten, mada ni kuhusu changamoto kuhusu bunge la kumi.
Mbunge Peter Msigwa akiwa anahojiwa ndani ya kipindi cha Madamoto Channel 10 leo tarehe 8. july 2015, saa 4.30 usiku, katika maoni yake kuwa Bunge linayumba kwa kuwa Spika Makinda kashindwa kubadilika na kuonesha udhaifu kwa kushindwa kwenda na Kasi na wakati. kawa ndani ya bunge tangu mwaka 1975 hata CCM ilikuwa haijafikiliwa kuzaliwa. CCM imezaliwa mwaka 1977.