Peter Msigwa: Kazi ya kiongozi wa upinzani ni kuwachochea wananchi waione Serikali haifai



Mtangazaji; Mnafanya mchakato upi ili kupata wagombea?, yaani mna aina gani ya viongozi ambao mnao? Kama mna viongozi ambao wanaweza wakarubuniwa kwa rushwa na wakapokea hii inaleta twaswira gani ndani ya chama kizima kwamba kuna viongozi wanaoweza kurubunika na kukisaliti chama, tusaidie ndani ya CHADEMA kuna viongozi wa aina gani?

Msigwa: Tuelewe kwanza rushwa ni ushawishi, kutoa na kupokea rushwa yote ni makosa. Rushwa ni kosa la jinai ikiwa imefanywa na watu wa Chadema au CCm au kwa mtu ambaye hana chama. Ila tuangalie mazingira ya hii rushwa yapoje, watu walijaribu kutumia hii rushwa kudanganya umma kwa maslahi yao binafsi.

Kwa kudanganya kwamba watu wanatoa sifa, kuna utendaji wa kazi mzuri ili waonekane wanafanya kazi vizuri kwa kuwanunua watu hicho nicho kikubwa tunachokifanya na kujaribu kukomesha. Kwa hiyo sio swala la chadema ni kosa la jinai

Mtangazaji: Sasa kwa nini washawishiwe madiwani wa CHADEMA tu na sio wa vyama vingine, kuna Madiwani wa CUF na vyama vingine kwanini hao? Ndio maana nikauliza mna viongozi wa namna gani?

Msigwa: Tukizungumza hivyo lazima tuangalie katika muktadha wa siasa za kitanzania, sisi tupo katika upande wa upinzani, tunajaribu kuipinga serikali tunajaribu kuwachochea wananchi waione serikali haifai. Na ndio kazi ya kiongozi wa siasa wa upinzani kukosoa serikali iliopo madarakani kwa mujibu wa sheria na taratibu tulizoziweka ili wananchi waione haifai katika kuleta maendeleo

Mtangazaji: Kwa hiyo lengo ni kuwafanya wananchi waione serikali haifai?

Msigwa: Ndio, ndio, ndio kazi yetu

Mtangazaji: Je, ni kweli haifai?

Msigwa: Ndio

Nadhani hapa ndipo wapinzania wetu mnakosea.......sidhani kama maana ya opposition ni kuwafanya wananchi waichukie serikali.........hiyo sio kweli.....lengo la upinzani ni kushika dola.....wasipofanikiwa lengo lao ni kutoa mawazo endelevu katika kuifanya serikali iongeze bidii katika kuleta maendeleo na kama ikishindwa hayo mawazo yao yanageuka kuwa sera katika uchunguzi mkuu.....ila hii ya kuwafanya wananchi waichukie serikali yao nadhani sio sahihi
 
Mi nadhani ni muda muafaka sasa watanzania tufikirie kutengeneza upinzani sahihi ambao utajua nini wanatakiwa kufanya.....na kupata mbadala sahihi wa CCM.....Ndugu Msigwa sidhani kama ulichoongea ni sahihi na ulielewa unaongea kitu gani..............Bila upinzani madhubuti unaojitabua na kuifanya CCM ifanye kazi tutakuwa tunapiga mark time wandugu
 
YEYOTE ANAEJIITA MPINZANI WA SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI KIHALALI HANA NIA NJEMA NA TAIFA

KWENYE DEMOKRASIA YA KWELI SIJASIKIA KIONGOZI AKIJIITA MPINZANI!!!
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Wewe binti ni zero brain chadema walisaini hiyo mikataba ya hovyo,wamefanya ufisad gani tukisema wewe ni msukule tunamaanisha kweli njaa mbaya jiite tu Elishoga ili tukujue
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Mkiambiwa ukweli mnataka kuwaua! Nyie watu wa ajabu sana
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.


Hiyo miwani ya mbao haikusaidii kitu! Unachotakiwa kujiuliza, je haya mambo yanayoendelea TZ hasa ukata na mkwamo wa uchumi CDM ndo waliosababisha? Wala rushwa na wahujumu uchumi wapo hapo CCM wanabembelezwa! Huwezi kupambana na wahujumu uchumi ukaacha kumgusa Mkapa, JK na JPM mwenyewe!
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.

Ile video ya mkuu wa Wilaya Mnyeti akigawa rushwa kununua madiwani umeiona???
 
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
Kwa uandishi huu, wewe utakuwa ni janga kwenye familia yenu.

Hivi umekielewa ulichokiandika!? Tanzania inasafari ndefu kielimu
 
Hii nchi imejaa ' vilaza'! Sijui kama tutatoboa! Mada ya hovyo hovyo sana hii.
 
"Chama changu CCM ndiyo gwiji wa rushwa nchini na sioni aibu kusema " by Butiku
Habari wakuu

,siku zote tunajua kazi kuu ya upinzani nchi yoyote ni kuichallenge serikali katika maendeleo sio kukwamisha maendeleo,tunajua wazi dhamira ya kuanzishwa kwa vyama vingi ni kuleta hoja mbadala zenye lengo la kukuza uchumi wetu sio kudidimiza uchumi wetu, kama tunavyoona sasa wapinzani wakiomba tususiwe na jumuiya za kimataifa.

Wapinzani wanatakiwa wapinge rushwa sio kuwa maagent wa wala rushwa.kama tunavyoona sasa wanavyowatetea wala rushwa na wahujumu uchumi

Upinzani wa kweli hautakiwi kuendeshwa kwa matukio bali kwa hoja na sera kwa vitendo mtawafanyia nini watanzania mkiaminiwa kwa kuleta maendeleo kwenye majimbo mitaa na halmashauri zao na si kwa uwezo wa kuropoka na kutukana viongozi wa serikali kama tunavyoshuhudia sasa

Kiukweli katika maisha yangu na dunia kwa ujumla sijawahi kuona wala kusikia upinzani wa hovyo zaidi kama naouona kipindi hichi Tanzania.
 
Na hatutawaachia nafasi humu JF watu kama hawa,.
JF tumeshajielewa kabisa mada kama hizi lazima uonekane kichaa mtoa mada.
Au la sivo ujitoe Akili au kufumuliwa Marinda kwanza kama Jery muro na Le mutuz.
 
Hah haha haha na sasa wanatuchochea tuone rais hajafanikiwa kuhusu makinikia,kweli siasa za bongo ni uchochezi
 
Back
Top Bottom