Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kulingana na taarifa ambayo ameelezea kupitia ukurasa wake wa Twitter, Msigwa amesema;
"Kama Mbunge unaweza kutungiwa kesi. Hali lazima iwe mbaya sana kwa raia wa kawaida. Nimekuta kituo cha polisi Iringa Mjini kuna watu wapo mahabusu polisi zaidi ya siku ishirini hawajapelekwa mahakamani. Vijana wa Chadema wamekaa mahabusu zaidi ya siku saba bila kupelekwa mahakamani".
Ameandika Mbunge huyo Peter Msigwa.