Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kama mbunge niliyewakilisha wenzangu na Mwenyekiti Mbowe kumpeleka Lissu Nairobi, hali aliyokuwa nayo , mwili unasisimuka kuona watu wanadhihaki na kukosa ubinadamu !tuogope kusema ukweli eti tutafukuzwa! Niko tayari kufukuzwa! Bunge limepoteza maana!