Sijaona kipya hapo, kwa hiyo Kikwete asimnadi Ridhiwan ? Au mzee mwinyi asimnadi kijana wake ?Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Hahahahahahaha mnafurahisha sana aisee!! Hapo utapewa zawadi kwa kuanzisha bonge la uzi dhidi ya CHADEMA hahahahaha.Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Kikwete Na Mama SalmaSijaona kipya hapo, kwa hiyo Kikwete asimnadi Ridhiwan ? Au mzee mwinyi asimnadi kijana wake ?
Mbona mnawehuka mapema hivi
Kwa kifupi we umekosa vitu vya kuandikaKwani Msigwa ni mmarekani? Msigwa ni mkinga
Waiaji kaeni sawaSijaona kipya hapo, kwa hiyo Kikwete asimnadi Ridhiwan ? Au mzee mwinyi asimnadi kijana wake ?
Mbona mnawehuka mapema hivi
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura