Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu mdada huwa mjinga sana! Kama halijielewi vile!Kwa kifupi we ni mjinga umekosa vitu vya kuandika
NIMETAMBUA MZEE KIKI ZA MAIGIZO ALIPOTUHUBIA MWELEKA HAPA MAKAMBAKOkuna dawa hapo,au hujapewaa akili ya kutambua pumba na mchele
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Wewe jamaa ni kituko hasa hahahahaha.Kwani Msigwa ni mmarekani? Msigwa ni mkinga
Huu ni mfano wa kuigwa, kwa kifupi hapo anamuandaa mtoto aje kuwa kiongozi kama yeye.Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Natamani Binti yangu alelewe Vizuri hivi. Hongera Mchungaji hakika unaye Binti Jembeeeee👋👋👋👋Yehodaya,
Umepotea, umeacha kumkampenia mgombea wa chama chako, umeacha kupinga hoja za CHADEMA, umeacha kumkosoa TAL, SASA unafanyia CHADEMA campaign! Angalia maboss zako wasione huu uzi, utaondolewa kwenye payroll!!
Kuna watu hamuitaki CCM ila mnashindwa kuweka wazi. Hapa si umempigia promo Msigwa?Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Huyo binti safi sana. Chadema wakiwa makini waanze kumuweka kwenye uongozi taratibu!!Natamani Binti yangu alelewe Vizuri hivi. Hongera Mchungaji hakika unaye Binti Jembeeeee
Hili si swala la kuuliza, dogo kaonyesha kiwango!!Apewe viti maalum huyo mtoto kama vipi
Peter Msigwa akosa watu wa kumfanyia kampeni na kumnadi amuomba binti yake wa Kwanza amnadi kwenye mkutano wa Kampeni Iringa aliouandaa
Hapa akimwita binti yake kuwa njoo uninadi kwa wapiga kura
Msamehe mkuu, sasa hivi Praise and Worship Team, wananena kwa lugha! Kwenye ibada ni kawaida kabisa! Ohoo Lugolaaa!Unasema "amekosa watu wa kumpigia kampeni" kwanini huyo binti si MTU?