Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
- Thread starter
- #21
oh, naona wewe ni mbishi! Nikupe issue nyingine, sikiliza wimbo wa TID nyota yako ndio utanielewa nina maanisha nini. wasanii wabongo ni wizi mtupu!!Mkuu sitaki kukuweka ktk kundi la watu wanaosubiri mwezao anapojitahidi kutoka wao wanatumia muda na akili nyingi kuchunguza makosa yao badala kuwapa sapoti.
Nadhani imekuathiri kwakuwa msechu alisema anamuadimire kwa sana kidumu na jaji iyan kumponda msechu kuwa anafanya kama kidumu hivyo aache.
By the way kwa ufahamu wangu msechu alitunga wimbo beat likatengenezwa kwa mj kisha mpango mzima
TID NAE NI MWIZI WA KAZI ZA WATU?