Peter Kisumo Vs. Anne Killango - vita vya maneno

1. It does not matter kama Kisumo alisema au hakusema, alichojibu Mama Kilango, na ambacho tumekiunga mkono, na bado tunakiungamkono kwa 100% ni hoja ya majibu kutoka kwa Mama Kilango, bado ni appropriate kwa hoja zilizotolewa kwenye hilo gazeti, kwa sababu somebody said something, haiwezekani kuwa haya maneno yametungwa na waandishi tu kuamini hayo ni mufilisi mkubwa sana wa uwezo wa kufikiri na kupambanua ishus hasa kwa yule mwenye kuamini hayo,

Una ushahidi gani kwamba "haiwezekani kuwa haya maneno yametungwa na waandishi" especially kama wewe na huyu mama wote mnaonyesha kutokuwa na uhakika kwamba huyu Kisumo kasema haya?

2. Maneno kwamba eti Mama kilango ni msanii, ninayaita ni matusi ya nguoni na hasa mrushaji maneno hayo anapokuwa hana hoja wala sababu maalum ya kimsingi, na huwa ninasema kuwa kuyajibu exactly kama yalivyo ni fair game, hivi mkuu wewe na Mama Kilango, a real msanii ni nani? Hrbu jiangalie kwenye kiooo kabla hujajibu hili swali, maana it is all over you yaani usanii, hivi huwa huoni hata aibu?

Kilango ni msanii tu anayecheza na sympathy za watu pamoja na ku ride public opinion.Hana conviction ya kweli, siku moja anajifanya ana uchungu sana kiasi cha kum blast hata mume wake, siku nyingine anakuwa Kisumo apologist.Huyu Mama ni bonge la opportunist na zaidi ya yote ni opportunist asiyejua calculation, bonge la birdbrain, na kama birdbrain yeyote atakuwa exposed very soon kama wenzake kina Mrema and them waliotaka sifa kwa kutumia matatizo ya watu.Yes, I said it.

Kazi kubadili rangi tu, kama wewe sio msanii kwa nini usisimame kwa rangi moja, juzi nimekuwekea kitanzi kuwa ninakuheshimu sana kwa rangi hii, here you are umeupanda mkenge bila hata kujua, toka niseme vile sasa umesimamia hapo bila kujua kuwa ulikuwa mtego tu, kabla hujaita viongozi wako wa taifa, waliochangulkiwa na wananchi kuwawakilisha bungeni wasanii bila ya sababu wala hoja, jiangalie kwenye kioo kwanza mkuu maana usanii uko all over yourself! na hapo juu hizo quote zinajisema zenyewe, au?

There you go with your usual incomprehensible ramblings.Yaani wewe unataka kunichagulia jinsi ya kufikiri? Halafu ndiyo unapiga vita ufisadi wakati hapa unataka ku exercise ufisadi wa ku monopolize fikra? This is one shogun you can never monopolize. Mimi sina upungufu wa maadili kiasi cha kuuza utu kwa kudanganya watu eti kiongozi kumbe kama ulivyotuonyesha hapo juu anachojali ni career yake tu.Huyu mama msanii tu radar zangu zishamshtukia.Tena above being msanii he is a social climber ila watu wengine washafika bei kwa mawenge.

na besides Mama Kilango siye aliyenunua Kiwira na Mkapa, huku wananchi wanakufa na njaa, aibuu!

Oldest trick in the book, when you don't have anything to say, obfuscate by introducing non related irrelevancies.Wewe huna tofauti na Kikwete anayeenda kuongelea mambo ya wasichana kupata mimba wakati nchi iko in the middle of crises.

Ahsante Mkuu!

Usinishukuru mimi, shukuru hao mafisadi kwenye ngozi ya wanamapinduzi.
 
FMES said:
Mama Kilango, ana washauri wazuri sana wanaomlinda kisiasa, yeye ni mbunge mwanamke wa Same East, ambako mwanamke bado ni mwanamke na hizi za kisumo ni siasa za jimbo la Ubunge, sio za taifa kama unavyofikiri,

FMES,

..1995 Gladness Mziray alimshinda Sammy Mdee[r.i.p], rafiki wa karibu wa Peter Kisumo, katika kura za maoni CCM Same Magharibi.

..Kisumo kama bado ana influence yoyote ktk siasa za Kilimanjaro itakuwa ni ktk jimbo la Mwanga anakotokea.

..pia si kweli kwamba wagombea wanawake wanadharaulika ktk wilaya ya Same.

..katika kura za maoni za CCM 2005, Mrs. Malecela, na Mrs.Kaboyoka, walimshinda Daniel Yona aliyekuwa waziri ktk serikali ya Mkapa.
 
Huyu Mama anachemka kama kawaida yake, kwanza anasema anawajua waliomtuma Kisumo na hawezi kutetereka, halafu anasema haamini kama Kisumo kasema maneno hayo.

Sasa lipi ni lipi? Hivi lini viongozi wetu watajifunza kuwa na breki za mdomo?

Kama huamini kwamba Kisumo kasema maneno hayo utaendaje kumu attack na kusema unajua waliomtuma?

Kama una confidence ya kusema unajua waliomtuma itakuwaje useme huamini kama Kisumo kasema maneno haya?

Hii inaonyesha low IQ, kukosa mantiki, kupenda misifa na kupenda kubwabwaja tu.

Thanks, Pundit. Jana niliandika the same thing, watu wakaniona kama nime-data vile. Huyu madame Malecela, Slaa, na Zitto wote ni walewale.They are just after masifa tu! Hawana chochote kabisa!

As a matter of fact, wanapiga domo tu kujijengea majina. They are all whinners!!
 
naona kisumo ameeanza tena kujipendekeza, sijui kuna kitu gani anacho fukuzia?
 
naona kisumo ameeanza tena kujipendekeza, sijui kuna kitu gani anacho fukuzia?
August asante kwa kuibua hii thread, kwa sisi tuliojiunga juzijuzi, inatupatia fursa na kupata backround nyingi za wanasiasa wetu, wengine wanaonekana ni mashujaa huku wengine wakiwaona ni wachemkaji, ila kitu kizuri/kibaya, naona kama zamani wanaJF walikuwa wakijenga hoja kwa kutumia 'nguvu za hoja' zaidi kuliko sasa naona kama ni 'hoja za nguvu' zaidi.
 
Hii ni ya zamani kidogo lakini si vibaya kuisoma tena:rolleyes:!
BODI ya Wakurugenzi ya Vodacom Tanzania, imemteua Peter Kisumo (74) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo.


Taarifa iliyotolewa Jijini jana na Kampuni hiyo imeeleza kuwa uteuzi huo ulianza rasmi mwezi Aprili mwaka 2009.

Bw. Kisumo anachukua nafasi ya Bw.Ferdinand Ruhinda aliyemaliza muda wake. Bw. Kisumo ambaye historia yake ilianzia kwenye Vyama vya Wafanyakazi (Trade Union) aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini katika awamu ya kwanza hadi ya tatu.

Kwa mara ya kwanza, aliteuliwa kuwa Waziri kwenye serikali ya awamu ya kwanza mwaka 1964. Baadhi ya nyadhifa alizoshika ni Mwenyekiti Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Kiwanda cha nguo cha Urafiki,Kiwanda cha Mbao Tanzania (TWICO) na Tanganyika Planting Company Limited (TPC).

Kwa sasa Bw.Kisumo ni Mwenyekiti Mtendaji wa Agro Vet na pia ni Mkurugenzi wa Chama cha Wakulima Tanzania (TFA)na Commercial Bank Africa.

Bw. Kisumo ana mke na watoto watatu na wajukuu kumi
alistaafu utumishi wa Umma mwaka 2000.


Imetolewa na:

Mwamvita Makamba
Mkuu wa Idara Ya Mawasiliano
Vodacom Tanzania Limited
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom