Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,065
- 4,727
Nyie watu mnapenda kujipa moyo.
Tumezoea kuona watu wakitoa sifa nyingi mtu anapokufa, lakini ninaomba sifa nizitoe mtu akiwa hai.
Mara nyingi nimeona wakili Kibatala akipanda mahakamani kwenye kesi za viongozi wa chadema, analipwa au halipwi hio sijui na hainihusu...