Peter Kibatala: Tumeulizwa sana kuelezea kuhusu nini kinaendelea katika kesi ya Godbless Lema

1.Kosa la Lema kisheria linahitaji dhamana
2-Mahakama ilimpa dhamana baada ya dakika 10 wakazuia dhamana yake bila sababu za msingi
3 -Anayezuia dhamana ya Lema ni mtu mmoja anayejiona yeye ni Mungu.
Sababu za kuzuia dhamana ni chuki binafsi
Kama Mahakama ilitoa dhamana na kuna mtu amezuia dhamana ...Je hakuna jinsi nyingine ya kufanya ili Lema apate hiyo dhamana?
 
Haijalishi yupo ndani sababu ya nani ila maumivu wanayoyapata familia yake ni yaleyale shida ni nyinyi wanasiasa kutumia hiyo kitu kama ndio ajenda ya kusimamia majukwaani.

Wacheni unafiki nyinyi.

Mbona unajipendekeza unajifanyia unawaonea huruma familia yake kwani hujui yupo mahabusu kwa sababu ya nani?
 
Haijalishi yupo ndani sababu ya nani ila maumivu wanayoyapata familia yake ni yaleyale shida ni nyinyi wanasiasa kutumia hiyo kitu kama ndio ajenda ya kusimamia majukwaani.

Wacheni unafiki nyinyi.
Unafiki tuu unakusumbua swala la Mbunge Godbless Jonathan Lema uhuni ambayo unafanyika kwenye kuzuia dhamana yake linatakiwa kupigiwa kelele na watu wote
 
Kweli humu wengi hatujitambui mtu anaposema lema atajuta kwa aliyoyatenda katenda yapi jamani yaani kuota ndio dhamana ikosekane pia kuna mtu anasema eti mawakili wa lema hawana uwezo hivi inakuingia akilini ?
 
Hivi ni kwanini katiba haijikingi dhidi ya loop holes kama hizi zinazoruhusu haki kucheleweshwa 'kwa mujibu wa sheria?' Ila niliambiwa kwamba "usimhadithie mtu ulichoota"
 
Kma anajua kila kitu kwa nini kibatala aendelee kubweka mitandaoni si asimame mwenyewe ajitetee basi...huna hoja wewe acha mihemko ya kwenye mitandao...
Mkuu alichofanya Wakili msomi kibatala ni kujibu maswali ya jf members wengi waliokuwa wakihoji mbona Wakili Lissu na Kibatala wapo kimya juu ya kesi ya lema? akadadavua kwa kina wengi hawajui kwanini Lema bado yupo ndani kumbe hakuna jambo lolote la kibabe wala uonevu isipokuwa ni ushindani na mvutano wa kisheria, technicalities, na procedures za pande mbili serikali yetu sikivu na mwananchi wake Lema.

Hapo sasa hearing imekuwa ni juu ya notice na rufaa juu ya dhamana ya Jonathan. Kesi ya msingi which is the subject matter of the cause (allegations) haizungumziwi tena. Mpaka atakapopatikana mshindi. At the same times bado huyo mwananchi anazidi kukaa ndani. Jamani kujua kucheza na sheria ni nzuri na hatari sana. Huyo Mbunge aendelee kumuomba Mungu na pia ajaribu kumuuliza Mungu na wapi alipokosea hata ikafanyika ugumu wa upatikanaji wa dhamana juu yake?
Akumbuke "Pulo na Sila..............."

Asante kwa Ufafanuzi mzuri wakili msomi Peter Kibatala na wanasheria wote wanaohusika katika kesi hii mnaleta changamoto zenye mafunzo juu ya sheria na utii kazi nzuri
 
Mkuu alichofanya Wakili msomi kibatala ni kujibu maswali ya jf members wengi waliokuwa wakihoji mbona Wakili Lissu na Kibatala wapo kimya juu ya kesi ya lema? akadadavua kwa kina wengi hawajui kwanini Lema bado yupo ndani kumbe hakuna jambo lolote la kibabe wala uonevu isipokuwa ni ushindani na mvutano wa kisheria, technicalities, na procedures za pande mbili serikali yetu sikivu na mwananchi wake Lema.

Hapo sasa hearing imekuwa ni juu ya notice na rufaa juu ya dhamana ya Jonathan. Kesi ya msingi which is the subject matter of the cause (allegations) haizungumziwi tena. Mpaka atakapopatikana mshindi. At the same times bado huyo mwananchi anazidi kukaa ndani. Jamani kujua kucheza na sheria ni nzuri na hatari sana. Huyo Mbunge aendelee kumuomba Mungu na pia ajaribu kumuuliza Mungu na wapi alipokosea hata ikafanyika ugumu wa upatikanaji wa dhamana juu yake?
Akumbuke "Pulo na Sila..............."

Asante kwa Ufafanuzi mzuri wakili msomi Peter Kibatala na wanasheria wote wanaohusika katika kesi hii mnaleta changamoto zenye mafunzo juu ya sheria na utii kazi nzuri
Hapo hakuna kujua kucheza na sheria wala nini, ni kwamba Mahakama imepokonywa nguvu zake, vinginevyo hakimu angeshamliza mchezo siku nyingi sana na wao wanasheria wa serikali wanajua kabisa wanabebwa vinginevyo huo uhuni wao usingepewa nafasi na hakimu.
 
usanii unaendelea,wakili mkubwa chandema ndio huyo peter kibatali
,hata mange kasema atamtetea "eti uongo nyani ngabu?"
kuna watu hapo bongo wanaishi kimipango mipango tu na kukuza majina,hawa watu kama kibatala sijui tundu lissu ni wa kupuuzwa kabisa,wanacheza na akili zenu nyie watuhumiwa.
upumbavu mlio nao wabongo wengi ni kwamba mkiona mtu kashika vitabu vya sheria,katiba,miongozo,na kanuni mnajua msomi,huyo mnamwita msomi kibatala ni kopo kabisa,ukija kwa lissu hata sijui nisemeje kuna nyumbu wanamwita mkombozi teh teh,
Nyumbu tafuteni cha kufanya muokoe maisha,lowassa,tundu lissu au KibATALI,AU kilewo au mbowe au ben sa tisa au mtei au babu yake,hawa wako busy sana ku secure ruzuku-

mi mwananchi huru tu siko kijani wala kunduz
 
Back
Top Bottom