Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We no kati ya wanaume mlioamua kuishi kike kama jerry muroMbona unajipendekeza kuwa wakili wa dereva?
Uchunguzi wa nje sahau
Hii ni nchi huru, na Lisu ni kama watanzania wengine potential zaidi ya huyo msaliti wenu
Kama hamuelewi mtaelimishwa tu
Kw
Kwa nn mahojiano ya huyu dreva hawa CHADEMA wanayapigisha kona kona nyingi sana?
Akifa ndilo MWISHO wa maneno.
Yaani ulivyoandika upuuzi wako ni jibu tosha kwamba mmeshachanganyikiwa.Blah blah nyiiingi lkn zero logic, hakuna mtu ambaye anapaswa kuhojiwa kwanza kama dereva aliyekuwepo kwenye eneo la tukio, hata hao FBI jambo la kwanza wangefanya ni hilo, huyo dereva alikuwa na Majeruhi kabla ya tukio, wakati wa tukio na baada ya tukio, hivyo wewe Kibatari umeshiba mtori wako halafu unataka kuongea pumba hapa, peleka upuuzi wako huko, kama mli mset Tundu Lisu sasa analipia gharama mwenyewe na familia yake na siajabu asirudie hali yake ya kawaida tena!
Jeshi linasema linamtafuta/linamuhitaji ,Driver yule kupitia vyombo vya habari na sina uhakika kama limechukua hatua yoyote ya kisheria chini ya Kifungu cha 10 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (Cap 20, RE 2002) kumfahamisha rasmi yeye au Mawakili wake (nikiwemo Mimi) au Ndugu zake au hata basi wanachama wenzake rasmi Kimaandishi kwamba anahitajika kwa mazungumzo/MahojianoKw
Kwa nn mahojiano ya huyu dreva hawa CHADEMA wanayapigisha kona kona nyingi sana?
Hivi kumbe ni kweli ukishabikia CCM ni lazima ukubali kujitoa akili. Ambacho hujaelewa andishi la Kibatala ni kipi? Mnajidhalilisha sanaKw
Kwa nn mahojiano ya huyu dreva hawa CHADEMA wanayapigisha kona kona nyingi sana?
Wajinga wengi hawaelewi kama sio kazi ya polisi kuita watu kituoni kusaidia upelelezi, wajibu wa polisi ni kufuata kokote taarifa zinazoweza kuwasaidia katika upelelezi wao!Nimeelewa hajakataa direct bt hyo ndo essence kakataa indirect
we unadhan kaandka yote hayo akimaanisha police wafuate utaratibu?
Ushasikia katka case znazohusu wanasiasa wanapoitwa kwa press conference kwenda police wakgoma kwenda kisa hawajaitwa kwa barua?
Ni sawa dereva c mwanasiasa ila ww ukiitwa na police utagoma kwenda kisa hawajakutumia barua ya wito kwa tamaduni zetu?
Mkuu, kama kweli umesoma hayo maelezo halafu ukaja ni hii post basi utakuwa na tatizo kubwa sana kichwani. Ila kama umesoma heading tu sina tatizo.Hivi mbona huyo dereva hamtaki akahojiwe kuna nn ,yeye ndo shahidi wa kwanza so why
Ni dereva au driver sio drevaKw
Kwa nn mahojiano ya huyu dreva hawa CHADEMA wanayapigisha kona kona nyingi sana?