Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,435
Ni suala la muda tu kwa sasa ndio linalosubiriwa , hakika Dortmund iliruka mkojo na kukanyaga kinyesi !
Imekuja kubainika kwamba Huyu ni kocha mbovu asiye na mbinu wala mipango yoyote ile ya kuikwamua timu wala kupata mataji yoyote , Borussia ni timu iliyojiwekea heshima kubwa sana kwenye michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , lakini leo ni mdebwedo kuliko hata Kikwajuni ya Zanzibar , imetolewa mapema sana .
Mpaka juzi baada ya kufungwa nyumbani na vibonde Werder Bremen , ilikuwa ni mechi ya 8 mfululizo kupoteza pointi .
Hakuna haja ya kuwa na kocha kimeo namna hii .
Imekuja kubainika kwamba Huyu ni kocha mbovu asiye na mbinu wala mipango yoyote ile ya kuikwamua timu wala kupata mataji yoyote , Borussia ni timu iliyojiwekea heshima kubwa sana kwenye michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , lakini leo ni mdebwedo kuliko hata Kikwajuni ya Zanzibar , imetolewa mapema sana .
Mpaka juzi baada ya kufungwa nyumbani na vibonde Werder Bremen , ilikuwa ni mechi ya 8 mfululizo kupoteza pointi .
Hakuna haja ya kuwa na kocha kimeo namna hii .