Pete ya uchumba ya kiume

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,877
2,758
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume, mwanaume kuvishwa pete ya uchumba itashindikana? Em wadada mtoe mawazo katika hili maana linawahusu direct. Mi nitafurahi nikivishwa na atakayekuwa mtarajiwa wangu
 
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume, mwanaume kuvishwa pete ya uchumba itashindikana? Em wadada mtoe mawazo katika hili maana linawahusu direct. Mi nitafurahi nikivishwa na atakayekuwa mtarajiwa wangu

Mziwanda umepinda, hii haijakaa vyema hata kidogo. Unajua wanawake tumewaachia wanaume wawe vichwa vya familia na kama ni kichwa cha familia wewe ndio unatakiwa kuwa msemaji mkuu, kingine nilichokuwa nasemea ni kwamba wanaweke c ambao huwa tuna-propose inamaana nikikuvisha pete halafu useme haujawa tayari inakuwaje? Nyie wanaume huwa mkiulizwa jamani tutaona lini unaona ni kero kubwa haya sasa aseme anaku-engage utasubiri yeye ndo apropose na tarehe ya harusi. Kwa maana hiyo utakuwa umempa mamlaka mkeo na hivyo hata mkioana yeye ndio atabaki kuwa kichwa cha familia.

Swali kwako wewe mziwanda umeshamwambia huyo msichana wako kwamba unasubiri yeye akiwa tayari akuvishe pete?
 
Mziwanda umepinda, hii haijakaa vyema hata kidogo. Unajua wanawake tumewaachia wanaume wawe vichwa vya familia na kama ni kichwa cha familia wewe ndio unatakiwa kuwa msemaji mkuu, kingine nilichokuwa nasemea ni kwamba wanaweke c ambao huwa tuna-propose inamaana nikikuvisha pete halafu useme haujawa tayari inakuwaje? Nyie wanaume huwa mkiulizwa jamani tutaona lini unaona ni kero kubwa haya sasa aseme anaku-engage utasubiri yeye ndo apropose na tarehe ya harusi. Kwa maana hiyo utakuwa umempa mamlaka mkeo na hivyo hata mkioana yeye ndio atabaki kuwa kichwa cha familia.

Swali kwako wewe mziwanda umeshamwambia huyo msichana wako kwamba unasubiri yeye akiwa tayari akuvishe pete?

dada yangu nimekusoma. Suala la uongozi wa familia bado ni la mume. Mwanamke nae ana wajibu wa kummiliki mumewe mtarajiwa na njia mojawapo ni hiyo pete. Msione hili ni geni sana au tusubiri wazungu watuanzishie ndo tujue linawezekana
 
Mimi sitaki kuwekwa uchumba, nisije nikawa mwanamume kibinti bure...........! Shaulilo wewe unayeintertain hayo mambo.......!
 
Hapa ndo karibu tutakuja na hoja kwamba kwanini mwanamke asilipe mahari badala ya mwanaume?
Kwa ushauri tu ni kwamba utaratibu tulionao ni mzuri tuache uendelee.
Zidumu fikira za kila mmoja wetu hapa!
 
Mziwanda umepinda, hii haijakaa vyema hata kidogo. Unajua wanawake tumewaachia wanaume wawe vichwa vya familia na kama ni kichwa cha familia wewe ndio unatakiwa kuwa msemaji mkuu, kingine nilichokuwa nasemea ni kwamba wanaweke c ambao huwa tuna-propose inamaana nikikuvisha pete halafu useme haujawa tayari inakuwaje? Nyie wanaume huwa mkiulizwa jamani tutaona lini unaona ni kero kubwa haya sasa aseme anaku-engage utasubiri yeye ndo apropose na tarehe ya harusi. Kwa maana hiyo utakuwa umempa mamlaka mkeo na hivyo hata mkioana yeye ndio atabaki kuwa kichwa cha familia.

Swali kwako wewe mziwanda umeshamwambia huyo msichana wako kwamba unasubiri yeye akiwa tayari akuvishe pete?

Kama ni hivyo da safina, then hata pete ya ndoa msiwavishe wanaume.
 
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume, mwanaume kuvishwa pete ya uchumba itashindikana? Em wadada mtoe mawazo katika hili maana linawahusu direct. Mi nitafurahi nikivishwa na atakayekuwa mtarajiwa wangu

duh labda ikiaza hii itakuwa ndio ya kwetu ya kwanza kuazisha wenyewe bila kuiga huko tunakoiga kila kitu,mkuu anzisha,mshauri shem akuvishe bwana,mi nilishachelewa.
 
Mziwanda umepinda, hii haijakaa vyema hata kidogo. Unajua wanawake tumewaachia wanaume wawe vichwa vya familia na kama ni kichwa cha familia wewe ndio unatakiwa kuwa msemaji mkuu, kingine nilichokuwa nasemea ni kwamba wanaweke c ambao huwa tuna-propose inamaana nikikuvisha pete halafu useme haujawa tayari inakuwaje? Nyie wanaume huwa mkiulizwa jamani tutaona lini unaona ni kero kubwa haya sasa aseme anaku-engage utasubiri yeye ndo apropose na tarehe ya harusi. Kwa maana hiyo utakuwa umempa mamlaka mkeo na hivyo hata mkioana yeye ndio atabaki kuwa kichwa cha familia.

Swali kwako wewe mziwanda umeshamwambia huyo msichana wako kwamba unasubiri yeye akiwa tayari akuvishe pete?
Kazi ipo,....
 
Kama ni hivyo da safina, then hata pete ya ndoa msiwavishe wanaume.

waambie mkuu. utaratibu mzuri huanzia awali, so awali ni pete ya uchumba kuvishana wote si mmoja kumvisha mwenzake. kwa maana nyingine ni kuwa katika uchumba, mwanamke ndiye anayebanwa na mwanaume yuko huru ila katika ndoa wote wanabanana. kwa nini wasibanane kuanzia uchumba?
 
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume, mwanaume kuvishwa pete ya uchumba itashindikana? Em wadada mtoe mawazo katika hili maana linawahusu direct. Mi nitafurahi nikivishwa na atakayekuwa mtarajiwa wangu

Waheshimiwa! Nimezisoma hizo contributional zenu lakini mimi niko na mtazomo tofauti kidogo kuhusu issue yenyewe lakini bado ndani ya mstari PETE.
Je? nini hasa maana(the logic behind) ya pete ya uchumba/ Ndoa kwa coupes.

Maandiko Matakatifu ya Biblia na quran yanasemaje kuhusu Pete?

Kimtazamo wangu Pete ya uchumba/Ndoa haina mantiki yeyote kwa coupes ila ni western culture ambazo tunajaribu kuiga sisi waafrika, ebu jiulize wazee wetu wa zamani walikuwa wanavishana nini? na ndoa au uchumba vilishamili tuu.

Kwahiyo issue ya nani amvishe na nani avishwe between Man and woman nafikili sio issue, regardness kuwe na dhamila ya kweli kwa wahusika.
 
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo.
Nadhani pete za uchumba zisiwepo kabisa hata kwa wanawake, kwani hazina maana tena baada ya ndoa. Zinaongeza tu gharama kwa mwanaume.
 
Mi saifiki bana.! haingii akilini kidume aliye timilifu akavishwe pete ya uchumba na m/ke
swali kwako mziwanda.
Unawezaje kuibadili fikra hii kwa wazazi na familia yako bila kutiliwa shaka yeyote na wanajamii wako juu ya utimilifu wako kama mtoto wa kiume.?
 
Mi saifiki bana.! haingii akilini kidume aliye timilifu akavishwe pete ya uchumba na m/ke
swali kwako mziwanda.
Unawezaje kuibadili fikra hii kwa wazazi na familia yako bila kutiliwa shaka yeyote na wanajamii wako juu ya utimilifu wako kama mtoto wa kiume.?

mkuu mbona unatulia mbele ya kadamnasi na kuvishwa pete ya ndoa?
 
Waheshimiwa! Nimezisoma hizo contributional zenu lakini mimi niko na mtazomo tofauti kidogo kuhusu issue yenyewe lakini bado ndani ya mstari PETE.
Je? nini hasa maana(the logic behind) ya pete ya uchumba/ Ndoa kwa coupes.

Maandiko Matakatifu ya Biblia na quran yanasemaje kuhusu Pete?

Kimtazamo wangu Pete ya uchumba/Ndoa haina mantiki yeyote kwa coupes ila ni western culture ambazo tunajaribu kuiga sisi waafrika, ebu jiulize wazee wetu wa zamani walikuwa wanavishana nini? na ndoa au uchumba vilishamili tuu.

Kwahiyo issue ya nani amvishe na nani avishwe between Man and woman nafikili sio issue, regardness kuwe na dhamila ya kweli kwa wahusika.

ila mzee pete zina nafasi yake na aliyeleta hiyo falsafa hakuibuka tu. tukisema tumeiga kwa wazungu basi ni mengi sana tunadaiwa na hao wazungu. mi binafsi nikiona mkono wa mwanamke una pete hata kama nilikuwa na nia fulani basi hutoweka
 
Nadhani pete za uchumba zisiwepo kabisa hata kwa wanawake, kwani hazina maana tena baada ya ndoa. Zinaongeza tu gharama kwa mwanaume.

duh! thanks 2749!!! for the newly married couple. ila angalia mama watoto mtarajiwa asikusikie mkuu
 
duh! thanks 2749!!! for the newly married couple. ila angalia mama watoto mtarajiwa asikusikie mkuu
Haa haa haaa !! Yupo humu humu JF lakini hajui ID yangu, labda aunganishe events na post ninazozibandika !!!
 
Haa haa haaa !! Yupo humu humu JF lakini hajui ID yangu, labda aunganishe events na post ninazozibandika !!!

sasa nyie si mwili mmoja? ila kama ni janjauri atajua tu. umetangaza kufunga ndoa humu nae si anaona? si ajabu alichangia mawazo, hadi kufikia ndoa bado asikujue tu? na wewe hope unaijua ID yake
 
Back
Top Bottom