Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,443
- 2,567
Ni somo refu kidogo, ila you just elewa hiyo ni case ya psychology.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kizembezembe hata alshabab hawanipigishi goti labda watumie ule mtambo wa hyundai folko unaopasua miamba migumu iliyoshindikana
Sent using unknown device
Huo ni ushamba tu na ulimbukeni.Nimeshuhudia wanaume wengi wakipiga goti huku wakiwavalisha Pete za uchumba (engagement ring) sina shaka wala siupingi utaratibu huo ila kuna maswali huwa yananijia ambayo huwa nakosa majibu madhubuti
Mosi..je kupiga goti ni kanuni/sheria au ni utaritibu wa kimazoea?
Pili....je kupiga goti kwa manaume huashiria nini kwa mwanamke wake?
Tatu...je wanaume hufurahia kupiga goti katika tukio hilo au ni mazoea tu ya kijamii yanalazimu?
Nne.. Je wanawake huwa wanawaza nini kuona mumewe mtarajiwa akimvisha pete huku akiwa kapiga goti?
Sidhani kama utaratibu huu upo pia kwa ndugu zetu waislamu ila kwa wakristo ni well experienced and not well known .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi muhuni nisiejua kutongoza ila nikishika ubapa mdogo mdogo utaona demu huyo geto anaongozaAhahahaha we ndo mnaolia kisa penzi mchozi kabs hapa unadanganya wenzio ili wapate tabu kwenye mahusiano yao nataman nikuone unavyotongoza mkuu nadhan utakua unapanga hela mbele
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna haja ya kuiga mavitu ya wazungu tufate ya kwetu.Umeangaika kumtongoza umekesha kufikilia mistari umetumia vocha umelia kiuongo na kwel umefanya research kama ni anafaa umemnunulia sana vocha ujasema ajabu tendo la sekunde tena bila gharama unaona kero mbona ujasubiri mwanamke akufate mwenyewe sema africa bado kuna mfumo dume kubali kubadilika na mazingira ndo dunia ilivyo simba na ufalme wake nyika lkn ananyenyekea mwanamke na popote jike akienda ye ufata nn we
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siyo kila kitu ni cha kuiga eti kisa tu wa majuu nao wanafanya hivyo hivyoYetu ni yapi mkuu hata mzungu ameiga yetu mzee kifaa unachotumia ni cha mzungu tena umeiga na umetia hela yako kabs
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siyo kila kitu ni cha kuiga eti kisa tu wa majuu nao wanafanya hivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app