mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Habari zenu tena hapa.....
Nna jambo moja huwa silielewi..ni wakati gani pete ya ndoa na ya uchumba (kama alibahatika kuchumbiwa) huvaliwa mkono wa kulia maana juzi naona mtu katinga mkono wa kulia ya uchumba hadi ya ndoa ckuelewa....au ndo single ladies put a ring on it!!
Nielewesheni kijana maana npo kwenye mchakato wa kumsuprise mahabuba dec ncje nikaumbuka na right hand !!inahusu!!
Ni hayo kwa leo..weekend njema
Nna jambo moja huwa silielewi..ni wakati gani pete ya ndoa na ya uchumba (kama alibahatika kuchumbiwa) huvaliwa mkono wa kulia maana juzi naona mtu katinga mkono wa kulia ya uchumba hadi ya ndoa ckuelewa....au ndo single ladies put a ring on it!!
Nielewesheni kijana maana npo kwenye mchakato wa kumsuprise mahabuba dec ncje nikaumbuka na right hand !!inahusu!!
Ni hayo kwa leo..weekend njema