Pete ya mafanikio

Ndgu
Mimi mwenyewe hapo ndpo hupata shida na hawa binadamu waganga anakuambia nipe elf 50 nikupe utajiri as if utajiri yeye hautaki , kwenye hyo 50 anayokuomba ukimuongezea kiasi anakubali ila isipungue.

Hitimisho: Dawa ya mafanikio ni kufanya kazi tu, hao wauza mawe na utabili ni utapeli kama kubet
Mkuu si kila mtu anaweza kazi ya jeshi wengine huwadhamini watu na kutamba kana kwamba wao wanaweza kuna vitu sio, unakuta sehemu nyingi hizi elimu ni kama hazijai kwa baadhi ya watu asili ya kuona mtu anakitu halafu hatumii mbona ni kawaida sana
 
mkuu kwanini unaiuza hiyo Pete?
Niliyonayo mimi imeweka ufa kidogo hizi zinapatikana aliexpress na maduka mengine ya mtandaoni au sonara kubwa za kariakoo! ikiwa unahitaji

Rakims
 
YAKUTI YA NJANO:

View attachment 1109461

Yakuti ya njano ni moja kati ya mawe yanayo thaminishwa sana katika ulimwengu wa kiroho kwa faida nyingi za kimwili na kiroho hasa katika maisha ya kila siku ya mwanadamu tangu zama za kale na pia ni moja ya mawe makuu katika mlolongo wa mawe 9 yenye thamani na matokeo yaliyokwisha jaribiwa kisayansi na kiroho na kuonekana faida zake kwa uwazi na uthibitisho siku 6 tangu kuanza kutumiwa kwake na mtumiaji wahindi hufahamu jiwe hili kama Jiwe la Pukhraj au Push Raja na peetmani, jiwe hili linapewa nafasi muhimu sana katika ulimwengu wa kinyota na linaaminika kubeba nguvu za sayari ya mushtara au Jupiter unavyoijua wewe:

Jupiter ni sayari ambayo ndio nzito zaidi katika mihimili ya Solar system hivyo ukubwa huu na nguvu zake basi kama yaliyo mawe mengine yanavyofananishwa na sayari zilizopo juu na kuwakilishwa basi jiwe ka Yakuti ya Njano ndio pia linafananishwa na Sayari hii yenye siri nyingi za kiroho katika mafanikio mvaaji wa pete au jiwe hili anatakiwa afahamu kabisa kwamba jiwe hili linavaliwa na watu maalum ambao ndio nyota yao hutawala na kupokea nguvu kirahisi kwenye jiwe hili kulingana na kila saa ya sayari hiyo inapozunguka kiduniani hapa yaani wakati ambao dunia huwa imezungukia katika Jupiter au uelekeo wa dunia sehemu ambayo inaangalia jupiter na saa hiyo inapokuwa imemfikia mvaaji wa jiwe hili basi humjaza nguvu za Jupiter kwa wakati huo wengine husema nyota humuwakia kwa kipindi hicho basi saa hiyo yeye chochote anachofanya kiliopo chini ya uwezo wa jupiter basi huweza kukifanikisha:

Mambo yanayotawaliwa na sayari ya Jupiter na kama wewe upo kwenye nyota rafiki za Jupiter basi utayafanikisha kirahisi
Mambo hayo ni:
Kuota maono,
Kuota mambo yajayo,
Kipato kuongezeka,
Kuona au kubashiria madini,
Kupata urahisi wa mali,
Ulaini wa mambo,
Urahimu,
Akili,
Upole,
Mafanikio ya Kiserikali
Haya,
Kupona shinikizo la damu,
Kung'ara kwa nyota,
Kuwekwa karibu na uongozi,
Kushilikishwa safari na kazi,
Mafanikio kibiashara,
Kuoa au kuolewa.

Na mengineyo mfano wa hayo kumbuka ni kwa wenye nyota ambazo zina husiana na pia zina urafiki na sayari hiyo ya Jupiter hii ni faida za sayari hiyo na nyota hizo ni
kama Ifuatavyo:
Nyota ya Simba (LEO) Mshale (Sagittarius) na Samaki (Pisces)

Madini mazuri ya kuvalia ni BATI au SILVER

Yakuti ya Njano huendana zaidi na nyota hizo Hii ni kwa sababu nyota hizi zina urafiki na sayari ya Jupiter.

Jiwe hili hupatikana zaidi Nigeria, USA, Cambodia, India, Thailand, Kenya, Nepal na Sri Lanka.


FAIDA ZA YAKUTI YA NJANO YENYEWE KAMA YENYEWE:

Jiwe hili humlinda mvaaji kutokukumbwa na mashetani au uchawi wao na humfanya mwenye kuvaa kuwa na tabasamu sana na mwenye furaha mara nyingi anapokuwa nalo hasa mwanamke,
Kama mvaaji ni mwanamke basi humfanya apendwe zaidi na kusifiwa kwa nyanja yoyote aliyopo na kuonekana bila yeye mambo hayaendi pia kumfanya avutie zaidi kwa kupendeka na kuonekana lakini humrekebishia pia maisha yake ya kindowa au kumvutia mume,

Katika tamaduni za Kihindi mtu akivaa pete inayowakilisha Jupiter huitwa Guru au mwalimu wa kiroho kwa ukubwa wake, hivyo. Waandishi wa habari,wanasheria,majudge,waalimu na wanazuoni wa kihindi hujiongezea nguvu zaidi wanapovaa jiwe hili kwa imani zao, kwenye series na habari zao utaona wanapete mbili hadi tatu vidoleni zikiwa na mawe tofauti hawavai mapambo wakuu,
Nguvu na uadilifu katika imani yao basi jiwe hili huwafanya kuwa wenye nguvu kimaamuzi, wenye kuweza kuhimili mambo magumu yanapowakuta au katika kushindanisha vitu au kesi wengine huvaa kama cheni, na huwafanya waweze kuongea vema kiakili na kwa busara na utulivu na upole na heshima kabisa na kutiia kama wakuu fulani ndio maana kuna nyakati unaona wanazungumza na mtu hadi anaweza kulia sio movies walioishi nao wanajua hivi vitu pia, na pia huwafanya wafikie mafanikio makubwa sana katika maisha yao ya kila siku ndio maana leo unaona wapo karibu sana na wachina pamoja na wazungu kwa sababu wamehifadhi na kutukuza asili zao wewe kalia kuona mtu akifanya jambo la kiroho tofauti na uislamu na ukristo ni uchawi utabaki hivyo hivyo,

Jiwe hili pia hujulikana kwa uwezo wake wa kuponya maradhi ya figo hasa kwa wafanyaji wa massage hutumia pia na mdomo,mifupa,kikohozi,mafua,kupoteza kumbukumbu na kuondosha homa za masaa,
Nguvu yake pia humlinda mvaaji na Ajali za kizembe pamoja na maneno ya kijinga na kumletea utulivu wa akili,maarifa humuongezea na furaha pia.
humsaidia mtu kutokukasirika hovyo na kununa nuna au kususa kusikokuwa na maana pamoja na kumuweka sana kifikra na kumkinga na chuma ulete pia na kutokunyolewa nywele usiku,
Kwa kuvaa jiwe hili basi mtu huwa katika jiwe sawa na wale wanaoanza kutaka kupata nguvu ya mawe hushauliwa kutumia hili kwa maana lina matokeo ya haraka zaidi likifuatiwa na Almasi,
Mvaaji wa pete au jiwe hili basi hukingwa na yanayoweza kumletea udhalilifu kukinai mambo ya hatari kumtolea addicted ya vitu visivyo na faida na kumuwekea akili sawa asiweze kujiingiza kwenye mapenzi kupitiliza au kumletea unyonge wa kukutana kimwili na yoyote mwenye maradhi ya kingono anayoweza kumuambukiza, na humfanya awe sahihi kwa maamuzi yake, humfanya mvaaji kuwa vema kwenye kazi hasa biashara na kumvutia wateja hata kama kaajiliwa hasa kwa siku ya jumapili na Alhamis humpa mtu mamlaka na kumfanya apande cheo ikiwa atafuata taratibu za uvaaji wake kila siku au baadhi ya siku kwa ambao sio rafiki na sayari hiyo,

Hupunguza mafuta mwilini kwa mvaaji na humponya magonjwa ya ngozi na koo, na inajulikana sana katika kuponya shinikizo au mgandamizo wa damu na kubalance presha.

Mwenye kuvaa pete au kubeba jiwe hili basi atafanya mengi ya kiroho na miujiza bila yeye kutegemea kwa kuamuru hata kwa imani yake ya dini.


WANAOWEZA KUVAA YAKUTI YA NJANO

Kama mwenye kuvaa pete hii ana nyota ya Mshale au Samaki
au aliyechomozewa na nyota moja kati ya hizo hata kama nyota yake ni nyingine lakini uchomozaji upo kwenye moja ya nyota hizo basi atapata faida hizi siku yoyote saa yoyote atakayo vaa na kwa haraka ataanza kuona mabadiliko hasa katika bahati nasibu kwa wacheza kamali, bahati ya kupendwa ghafla, na zote nilizotaja hapo.

Kwa aliye na nyota ya Kaa au punda au aliyechomozewa na nyota ya kaa au punda yeye humletea kinga,baraka,usalama,na kupanda cheo tu.

Wengine wenye nyota tofauti wao hupata bahati na kinga tu kwenye jiwe hili.

UVAAJI WA PETE HII
Pete hii inapendeza zaidi kuvaliwa kidole cha shahada(index) kwa wanaume wa dini yoyote na kushoto kwa wanawake,
Lakini kwa waislamu inapendeza zaidi kuvaa mkono wa kulia kidole cha pete hasa kuepukana na sunnah za mtume kuvaa pete mkono wa kulia.
Na siku nzuri ya kuanza kuvaa pete hii ni alhamisi asubuhi au siku yoyote mwezi ukiwa umeanza kuchomoza ndani ya siku ya 1-7 au kwenye mwezi mpevu,
Usivae mwezi ukiwa unahama au upo gizani.

Wapi pa kuipata

Mimi ninayo moja tu kwa atakaye hitaji ninaiuza sh. 600,000/=
vile ina crack ndogo ya ndani kama mstari hivi,
View attachment 1109462
Wengine wenye kuhitaji agiza online zipo

Zinauzwa 739,590/= hadi 1,253,590/=
View attachment 1109687
Inategemea na ukubwa na pia ukipata ndogo sana zina 365,590/=
View attachment 1109690
Jitahidi upate ambayo ni pure otherwise utapata za 50,000-100,000/= ambazo ni goroli sio pure
View attachment 1109689

Kwa asiyeelewa nazungumzia nini na wapiga zogo pitia hii thread uelewe kidogo



kama una swali ambalo ni personal na upo nje ya forum:

Wasiliana nami kupitia email hii:

Rakimsspiritual@gmail.com

au namba hii ya mtu aliye karibu nami

+255626085437

Rakims
Sina pete lakini na tusua maisha vizuri sana kwa neema ya Yesu
 
Mbona iyo pete ina geometry ya pembe tano?
YAKUTI YA NJANO:

View attachment 1109461

Yakuti ya njano ni moja kati ya mawe yanayo thaminishwa sana katika ulimwengu wa kiroho kwa faida nyingi za kimwili na kiroho hasa katika maisha ya kila siku ya mwanadamu tangu zama za kale na pia ni moja ya mawe makuu katika mlolongo wa mawe 9 yenye thamani na matokeo yaliyokwisha jaribiwa kisayansi na kiroho na kuonekana faida zake kwa uwazi na uthibitisho siku 6 tangu kuanza kutumiwa kwake na mtumiaji wahindi hufahamu jiwe hili kama Jiwe la Pukhraj au Push Raja na peetmani, jiwe hili linapewa nafasi muhimu sana katika ulimwengu wa kinyota na linaaminika kubeba nguvu za sayari ya mushtara au Jupiter unavyoijua wewe:

Jupiter ni sayari ambayo ndio nzito zaidi katika mihimili ya Solar system hivyo ukubwa huu na nguvu zake basi kama yaliyo mawe mengine yanavyofananishwa na sayari zilizopo juu na kuwakilishwa basi jiwe ka Yakuti ya Njano ndio pia linafananishwa na Sayari hii yenye siri nyingi za kiroho katika mafanikio mvaaji wa pete au jiwe hili anatakiwa afahamu kabisa kwamba jiwe hili linavaliwa na watu maalum ambao ndio nyota yao hutawala na kupokea nguvu kirahisi kwenye jiwe hili kulingana na kila saa ya sayari hiyo inapozunguka kiduniani hapa yaani wakati ambao dunia huwa imezungukia katika Jupiter au uelekeo wa dunia sehemu ambayo inaangalia jupiter na saa hiyo inapokuwa imemfikia mvaaji wa jiwe hili basi humjaza nguvu za Jupiter kwa wakati huo wengine husema nyota humuwakia kwa kipindi hicho basi saa hiyo yeye chochote anachofanya kiliopo chini ya uwezo wa jupiter basi huweza kukifanikisha:

Mambo yanayotawaliwa na sayari ya Jupiter na kama wewe upo kwenye nyota rafiki za Jupiter basi utayafanikisha kirahisi
Mambo hayo ni:
Kuota maono,
Kuota mambo yajayo,
Kipato kuongezeka,
Kuona au kubashiria madini,
Kupata urahisi wa mali,
Ulaini wa mambo,
Urahimu,
Akili,
Upole,
Mafanikio ya Kiserikali
Haya,
Kupona shinikizo la damu,
Kung'ara kwa nyota,
Kuwekwa karibu na uongozi,
Kushilikishwa safari na kazi,
Mafanikio kibiashara,
Kuoa au kuolewa.

Na mengineyo mfano wa hayo kumbuka ni kwa wenye nyota ambazo zina husiana na pia zina urafiki na sayari hiyo ya Jupiter hii ni faida za sayari hiyo na nyota hizo ni
kama Ifuatavyo:
Nyota ya Simba (LEO) Mshale (Sagittarius) na Samaki (Pisces)

Madini mazuri ya kuvalia ni BATI au SILVER

Yakuti ya Njano huendana zaidi na nyota hizo Hii ni kwa sababu nyota hizi zina urafiki na sayari ya Jupiter.

Jiwe hili hupatikana zaidi Nigeria, USA, Cambodia, India, Thailand, Kenya, Nepal na Sri Lanka.


FAIDA ZA YAKUTI YA NJANO YENYEWE KAMA YENYEWE:

Jiwe hili humlinda mvaaji kutokukumbwa na mashetani au uchawi wao na humfanya mwenye kuvaa kuwa na tabasamu sana na mwenye furaha mara nyingi anapokuwa nalo hasa mwanamke,
Kama mvaaji ni mwanamke basi humfanya apendwe zaidi na kusifiwa kwa nyanja yoyote aliyopo na kuonekana bila yeye mambo hayaendi pia kumfanya avutie zaidi kwa kupendeka na kuonekana lakini humrekebishia pia maisha yake ya kindowa au kumvutia mume,

Katika tamaduni za Kihindi mtu akivaa pete inayowakilisha Jupiter huitwa Guru au mwalimu wa kiroho kwa ukubwa wake, hivyo. Waandishi wa habari,wanasheria,majudge,waalimu na wanazuoni wa kihindi hujiongezea nguvu zaidi wanapovaa jiwe hili kwa imani zao, kwenye series na habari zao utaona wanapete mbili hadi tatu vidoleni zikiwa na mawe tofauti hawavai mapambo wakuu,
Nguvu na uadilifu katika imani yao basi jiwe hili huwafanya kuwa wenye nguvu kimaamuzi, wenye kuweza kuhimili mambo magumu yanapowakuta au katika kushindanisha vitu au kesi wengine huvaa kama cheni, na huwafanya waweze kuongea vema kiakili na kwa busara na utulivu na upole na heshima kabisa na kutiia kama wakuu fulani ndio maana kuna nyakati unaona wanazungumza na mtu hadi anaweza kulia sio movies walioishi nao wanajua hivi vitu pia, na pia huwafanya wafikie mafanikio makubwa sana katika maisha yao ya kila siku ndio maana leo unaona wapo karibu sana na wachina pamoja na wazungu kwa sababu wamehifadhi na kutukuza asili zao wewe kalia kuona mtu akifanya jambo la kiroho tofauti na uislamu na ukristo ni uchawi utabaki hivyo hivyo,

Jiwe hili pia hujulikana kwa uwezo wake wa kuponya maradhi ya figo hasa kwa wafanyaji wa massage hutumia pia na mdomo,mifupa,kikohozi,mafua,kupoteza kumbukumbu na kuondosha homa za masaa,
Nguvu yake pia humlinda mvaaji na Ajali za kizembe pamoja na maneno ya kijinga na kumletea utulivu wa akili,maarifa humuongezea na furaha pia.
humsaidia mtu kutokukasirika hovyo na kununa nuna au kususa kusikokuwa na maana pamoja na kumuweka sana kifikra na kumkinga na chuma ulete pia na kutokunyolewa nywele usiku,
Kwa kuvaa jiwe hili basi mtu huwa katika jiwe sawa na wale wanaoanza kutaka kupata nguvu ya mawe hushauliwa kutumia hili kwa maana lina matokeo ya haraka zaidi likifuatiwa na Almasi,
Mvaaji wa pete au jiwe hili basi hukingwa na yanayoweza kumletea udhalilifu kukinai mambo ya hatari kumtolea addicted ya vitu visivyo na faida na kumuwekea akili sawa asiweze kujiingiza kwenye mapenzi kupitiliza au kumletea unyonge wa kukutana kimwili na yoyote mwenye maradhi ya kingono anayoweza kumuambukiza, na humfanya awe sahihi kwa maamuzi yake, humfanya mvaaji kuwa vema kwenye kazi hasa biashara na kumvutia wateja hata kama kaajiliwa hasa kwa siku ya jumapili na Alhamis humpa mtu mamlaka na kumfanya apande cheo ikiwa atafuata taratibu za uvaaji wake kila siku au baadhi ya siku kwa ambao sio rafiki na sayari hiyo,

Hupunguza mafuta mwilini kwa mvaaji na humponya magonjwa ya ngozi na koo, na inajulikana sana katika kuponya shinikizo au mgandamizo wa damu na kubalance presha.

Mwenye kuvaa pete au kubeba jiwe hili basi atafanya mengi ya kiroho na miujiza bila yeye kutegemea kwa kuamuru hata kwa imani yake ya dini.


WANAOWEZA KUVAA YAKUTI YA NJANO

Kama mwenye kuvaa pete hii ana nyota ya Mshale au Samaki
au aliyechomozewa na nyota moja kati ya hizo hata kama nyota yake ni nyingine lakini uchomozaji upo kwenye moja ya nyota hizo basi atapata faida hizi siku yoyote saa yoyote atakayo vaa na kwa haraka ataanza kuona mabadiliko hasa katika bahati nasibu kwa wacheza kamali, bahati ya kupendwa ghafla, na zote nilizotaja hapo.

Kwa aliye na nyota ya Kaa au punda au aliyechomozewa na nyota ya kaa au punda yeye humletea kinga,baraka,usalama,na kupanda cheo tu.

Wengine wenye nyota tofauti wao hupata bahati na kinga tu kwenye jiwe hili.

UVAAJI WA PETE HII
Pete hii inapendeza zaidi kuvaliwa kidole cha shahada(index) kwa wanaume wa dini yoyote na kushoto kwa wanawake,
Lakini kwa waislamu inapendeza zaidi kuvaa mkono wa kulia kidole cha pete hasa kuepukana na sunnah za mtume kuvaa pete mkono wa kulia.
Na siku nzuri ya kuanza kuvaa pete hii ni alhamisi asubuhi au siku yoyote mwezi ukiwa umeanza kuchomoza ndani ya siku ya 1-7 au kwenye mwezi mpevu,
Usivae mwezi ukiwa unahama au upo gizani.

Wapi pa kuipata

Mimi ninayo moja tu kwa atakaye hitaji ninaiuza sh. 600,000/=
vile ina crack ndogo ya ndani kama mstari hivi,
View attachment 1109462
Wengine wenye kuhitaji agiza online zipo

Zinauzwa 739,590/= hadi 1,253,590/=
View attachment 1109687
Inategemea na ukubwa na pia ukipata ndogo sana zina 365,590/=
View attachment 1109690
Jitahidi upate ambayo ni pure otherwise utapata za 50,000-100,000/= ambazo ni goroli sio pure
View attachment 1109689

Kwa asiyeelewa nazungumzia nini na wapiga zogo pitia hii thread uelewe kidogo



kama una swali ambalo ni personal na upo nje ya forum:

Wasiliana nami kupitia email hii:

Rakimsspiritual@gmail.com

au namba hii ya mtu aliye karibu nami

+255626085437

Rakims
 
Achana na hayo mambo..fanya kazi kwa bidii, kua na nidham ya pesa, zidi kusali kwa Mungu. Yako mambo mengi yamefichwa nyuma ya hizo pete unazotaka ila hutawekwa wazi hapa.

Najua tu atakuja na hoja ya kupinga ila ukweli utabak kua kweli
Nashukuru kwa mawazo mazuri mkuu
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom