Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
- Thread starter
- #41
Kabisaa kabisaaaDuu dunia ya leo wala huhitaji ndele
Kabisaa kabisaaaDuu dunia ya leo wala huhitaji ndele
Kabisaa kabisaaa
Huyu haumii kweli?.
Ilitakiwa aulizwe au siyo??.Sasa huyo mama atakuwa anajua maana yake...
inategemea mvaaji ni wa wap na tamadun zipi. kwa Tz anavaa kahaba aliyejichokea kwa utafutaji wa njia za kawaida. hii ni pamoja na helen ya pua/ulimi, kikuku, shanga, tattoo za matako, kope bandia, macho bandia, kucha za kubandika za mikono, kigodoro, sidiria za boost, bleach, na mwisho ni puti usoniHebu wazoefu mnasemaje kuhusu hivi vipete vya kwenye miguu maana wadada wanavipenda kuvivaa...
Ni kweli vina tafsiri ama ni urembo tu?
Hahaha Msiniseme lakini...