Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,467
Habari kwako mwana wa JF. Hongera kwa jumapili tulivu.
Nimekuwa nikiwaona watu mbalimbali wenye dhamana ktk jamii wakivaa Pete kubwa kwenye vidole vya mikono. Sio hao tu bali pia wanamuziki, wafanyabiashara na watu wengine uchwara kabisa.
Jana pia kwenye video nilimwona Rais mstaafu wa SA Thabo Mbeki katinga bonge la mpete.
Je Pete hizi za kazi gani? Changia bila assumptions au mabunio tu yasiyo na tija na uwe na uhakika kabisa na usemacho ili tutoane matongotongo humu jukwaani.
Nimekuwa nikiwaona watu mbalimbali wenye dhamana ktk jamii wakivaa Pete kubwa kwenye vidole vya mikono. Sio hao tu bali pia wanamuziki, wafanyabiashara na watu wengine uchwara kabisa.
Jana pia kwenye video nilimwona Rais mstaafu wa SA Thabo Mbeki katinga bonge la mpete.
Je Pete hizi za kazi gani? Changia bila assumptions au mabunio tu yasiyo na tija na uwe na uhakika kabisa na usemacho ili tutoane matongotongo humu jukwaani.