Pesaa imevunjaa ndoa....

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
salam alkum waungwanaa...kunaa rafiki yangu sanaa amepatwa na tatizo na binafsi nimeshindwa kumsaidia,ningeombaa tumsaidie wote hapaa.jamaa aliowa miaka mi tano iliyo pita,alimtoa msichana kijijini akamsaidia mbayaa,waka zaa watoto wawili.jamaa anafanya kazi za mountain climber[poter] katika kampuni ya shemeji yake kaka ake mkewake,mkee wake ana fanya saloon moja ma arufu ya kunyoa wanaume[mali ya kaka ake].kamaa miezi sita iliyo pitaa jamaa alikuwa amepumzishwa kazi kutokana na kukosekana wageni wa kupanda mlima kili.HAPO ndo matatizo yalipo anza mwanamke alizaza kumletea zarau..akirudi mara anarudishwaa na magari ya kifahari,kiburi...jamaa akavumilia.ila kama dunia haina siri jamaa alipewa tarifa kwamba mkewake anatembea na kiboselee flani[jina kapuni],alipo peleleza akakuta kweli na kwavile alikuwa anampenda mke wake na hakutaka watoto wake walelewe na mamaa wakambo akapotezea kama hajui.ilaa mwezi uliopitaa yalimshinda alipo mfumania mkewee tena na kibosile mwingine akaa amua kumwaga manyagaa.tatizo ni hili...jamaa bado anafanya kazi katika ile kampuni ya tours kama poter na ni ya kaka ake mwanamke[usauri je aache ile kazi atafute nyingine au aendelee]kwani yeye anahisi wanamtenga?2.yule mwanamke ana demand matumizi ya watoto na yake?japo ana jua jamaa now hayuko vizuri...?NI STRORY NDEFU ILAA NIMESEMA KWA UFUPI??
 
kazi ni kazi na ndoa ni ndoa.... ndo uananume... apige kazi... akusanye mapene...atoke kinyake...bidii yake itamlipa.... wala asizonane na huyo mzazi mwenzake!!
 
Duh pole sana shemeji.hajatendewa haki kabisa bana..... hivi eti mume anatakiwa kutoa matumizi ya watoto na ya mkewe??
 
mwambie aache use@#%nge fastaaa... anamwaga demu na kama shemejie ndio alimtuma akabanduliwe nje ya ndoa anambwagia na kazi pia..afterall kazi zenyewe hakuna ndo maana alisimamishwa...

na hatua ya mwisho mwambie yeye ni mwanaume ---popote maisha na awe tayari kuanza upya..."haijalishi umeenda umbali kiasi gani ila kama wajua umepotea njia rudi nyuma anza safari upya".... habari za kulea watoto sijui ninininininiii..upuuzi mtupu.... kwani watoto wote duniani wamelelewa na wazazi wote?...kwani mama yao akifa hawezi yeye baba kulea wanawe...

au mshkaji wako "mwanaume suru-wali nini?.... fara tuuuu huyooo...HASIRAAAA...NATAMANI ANGEKUWA MKURYA KAMA MIE NIMKATEKATE MAPANGA...
 
Tatizo ni kufanya kazi kwa shemejio, hivyo nguvu hana, ila ingekuwa mimi ni talaka. Kama yeye anaogopa watoto kulelewa na mama mwingine, basi asishangae wakilelewe kwenye vituo vya watoto yatima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom