Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,696
- 172,647
Hongera kwa kupata mpenzi wa kweli mkuu!
Mwanamke anayekupa hela yake kwa roho safi ujue anakupenda kwa dhati...anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%! She loves you and wants you to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na ampendae.
Achana na hawa ambao wanafosi mapenzi kwa malaya wanaishia kuchapwa invoice kwa foleni. Wataishia kuponda tu kama kawaida yao na kukuita Marioo ila ukweli ni kwamba wengi hutamani hio bahati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji watakuponda na kumshangaa huyo demu anakupaje hela bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂
Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa?
Mwanamke anayekupa hela yake kwa roho safi ujue anakupenda kwa dhati...anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%! She loves you and wants you to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na ampendae.
Achana na hawa ambao wanafosi mapenzi kwa malaya wanaishia kuchapwa invoice kwa foleni. Wataishia kuponda tu kama kawaida yao na kukuita Marioo ila ukweli ni kwamba wengi hutamani hio bahati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji watakuponda na kumshangaa huyo demu anakupaje hela bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂
Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa?