Kama
sikosei hela za rada zilitoka kwenye wizara ya fedha na ile ya ujenzi
au uchukuzi ambazo kimsingi sio wizara za Muungano.
kwani mambo ya usafiri wa anga yapo kwenye muungano? nichofahamu mambo ya usafiri hayapo kwenye muungano, rejea spice islander saga
Kama sikosei hela za rada zilitoka kwenye wizara ya fedha na ile ya ujenzi au uchukuzi ambazo kimsingi sio wizara za Muungano.
serekali ya mungano wa (tanganyika +zanzibar )tanzania iwe makini katika mgao wa pesa za rada, zanzibar wapewe sehemu,ambazo zimeanza kulipwa kwa serekali ya tanzania .