Pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa Kikwete

Ukitaka kuyaona hayo maekalu ingia google map then type msoga. Inaonyesha ni majumba ya kifahari yakiwa yamezungukwa na msitu. Thank to techonogy tunaweza kuyafikia hata bila kwenda Msoga. Yapo nje kidogo ya Msoga. Yapo kwenye Nyuzi 6.33' 27.67S na 38.18' 46.31E.

Unaweza kuzoom na kujionea 'utajiri' tulionao watz! at Google Earth
 
je ndo hii nyumba yenyewe?....iko msoga

msoga.jpg

Usiseme nyumba sema majumba. Zoom ujionee kwa karibu. Hii inanikumbusha ikulu ya Mobutu Sese Seko Kuku Wa za Banga kule Gaborite, DRC.
 
Hivi huko Bongo hakuna mtu mwenye kamera na muda wa kuyapiga picha ili angalau tuwe na idea what we are talking about..?


Muombe yule reporter wako aende pale apige picha akutumie. Najua na kuamini kuwa kwake yeye ni rahisi sana kuingia ndani.
 
..hizo point mbili zina ukweli?

..ninachofahamu ni ujenzi wa makazi yake pale, kitu ambacho ni cha kawaida.

Ujenzi wa makazi ya nguvu ya Rais ni kitu cha kawaida?Ukisema kawaida una maanisha nini?Ni kosa kumwuliza Rais Fedha ya ujenzi huo inatoka wapi? Au ni kosa kushangaa ujenzi wa nguvu wa nyumba kadhaa za rais huku hazina ya serikali ikiwa tupu??
 
Usiseme nyumba sema majumba. Zoom ujionee kwa karibu. Hii inanikumbusha ikulu ya Mobutu Sese Seko Kuku Wa za Banga kule Gaborite, DRC.

Duuu? yaani ubinafsi huu wanadamu sijui tukoje,
Cha kushangaza ni kwamba anasahau at one time, anahitaji kiti kimoja cha kukalia, kitanda kimoja cha kulalia, chumba kimoja cha kulala, sasa hayo mabangaloo yote ya nini?
 
Ni bora akafungua mashamba au viwanda Watz wakapata kazi!

Angalia majumba ya Mwinyi (Dar na Z'bar), Mkapa kule Lushoto na tayari ni watu wazee sasa na watoto hawakai nao tena!

Yaani jumba la vyuma 20 ndani kule Chalinze utafanyia nini??

Yet majumba makubwa hivi unahitaji 'watumwa' (walinzi, maids n.k) kuyafanyia usafi! Na wala hayazalishi chochote!

Yet, ni pesa umewaibia watu maskini: na mtu una miaka 80 au 90 tu ya kuishi hapa duniani na tayari sasa umeshaishi miaka 60 au 70!

Hivi Ikulu ya Gbadolite kule DRC bado ni mali ya serikali? Maana hata Mobutu alikufa Morroco na kuzikwa huko huko!
 
Mmesahau Mwungana ana watoto waliotapakaa kila mahali mitaani? Anaandaa mahali pa kuwalea atakapomaliza muhula wake Ikulu. BTW Mobutu hakufa na Umobutuism wake. It is alive and kicking.
 
I own part of a mining company that operates in the area of lugoba. Nilikuwa kule mwaka jana na juzi na niliongea na engineer wa Subash on other maters. At one point, wakaniambia kuwa hilo jengo ni nyumba ya mkulu anayojengewa na Subash Patel ambae ni rafiki yake wa utotoni.. na ni mfadhili wake wa siku nyingi... pia ana machimbo makubwa in that area....

Those are the facts.
 
Kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kuwa hayo mahekalu yanajengwa kwa nguvu za serikali maana ndio makazi ya kuishi mkulu pale atakapostaafu. Na nimeambiwa kuwa walianza kujenga mara tu mkulu alipoingia madarakani.
 
Kwa taarifa nilizopata hivi punde ni kuwa hayo mahekalu yanajengwa kwa nguvu za serikali maana ndio makazi ya kuishi mkulu pale atakapostaafu. Na nimeambiwa kuwa walianza kujenga mara tu mkulu alipoingia madarakani.

Hivi serikali haina "standard" za nyumba atakayojengewa rais? Huyu akitaka mahekalu inakuwa safi na mwingine akitaka ajengewe kijiji kizima je itakuwaje?
 
Hivi serikali haina "standard" za nyumba atakayojengewa rais? Huyu akitaka mahekalu inakuwa safi na mwingine akitaka ajengewe kijiji kizima je itakuwaje?

Standard zipo. Imeelezwa kuwa nyumba isiwe chini ya vyumba vya kulala vinne. Hapo ndipo wanatupiga bao maana hakuna limiti ya ukubwa wa nyumba. Cha msingi ianzie vyumba vinne. Nafikiri ni wa kati wa kuweka sheria ya kulimit ukubwa wa nyumba.
 
Last edited:
Inawezekana ameruhusiwa vyumba vinne vya kulala na iliyozidi amelipia mwenyewe.
 
Hizi ni siri za taifa na kupiga picha maeneo kama hayo ni kuhatarisha usalama wa taifa. So.. well mlitaka Rais aishi kwenye kijibanda?
 
Shubash Patel, fisadi papa, kipenzi cha Rais wetu mpendwa. anasimamia miradi yote ya bwana Mkubwa, na ikulu zote zinazojengwa sasa hivi. U wonder why swala la mafisadi halitakwisha
 
Hatutaki Rais msitafu aishe kwenye kibanda lakini kuwa na mahekalu matatu kwampigo akiwa bado madarakani ni wizi mtupu
 
Hivi hizo cellfoni zenu, camera zake hazifanyi kazi? Tunaomba mtu ajitolee kupiga picha hizo nyumba, Dar na huko Chalinze ili utamu wa hii stori kolee na kupata nguvu.

Magazeti yetu nayo mbona kimya?

mi nimefika na kuziona nilikuwa napita ikabidi niingie nishuhudie. kuna kibao kabisa 'MARUFUKU KUPIGA PICHA ENEO HILI' sikutaka kusumbuliwa safarini basi sikujaribu.

ila kwa kweli ni hekalu hasa, ni mradi ambao umengharimu pesa nyingi. na kuna watu wa usalama pale wengi kwa gharama zetu!!!
 
Shubash Patel, fisadi papa, kipenzi cha Rais wetu mpendwa. anasimamia miradi yote ya bwana Mkubwa, na ikulu zote zinazojengwa sasa hivi. U wonder why swala la mafisadi halitakwisha



Mzee Mwanakijiji!

Tujisenti is absolutely right! Mrisho Jakaya Kikwete anajenga nyumba pale Msoga alipokuwa anaishi Babu Yake! It is another Mwitongo!! For sure Subash Patel is a baby swahiba number one of Kikwete yeye Subash alikulia pale Lugoba! Of course they went together to school huwezi kutenganisha!!

Waandishi wa habari uchwara and even the self proclaimed Mengi waging war against fisadi's media house can't put this story as breaking news! Huko nyuma niliwahi kuandika I think on this forum that the president is not serious na ujenzi.transformation ya Chalinze was on perspective!!

Hizo safari za Vasco Dagama(JMK) za kila w/end kwenda Chalinze ni kukagua huo ujenzi. Kampuni inayojenga kama siyo ESTIM could be another na hata usajili wake CRB and Brela could be a problem!

Any way habari ndio hiyo!! Nyumba ya NHC pale wamechukua apartments pale watu na kulipa kodi lakini wengine hawakai hapo kuna mpango wa watu kuuziwa jumla jumla!!
 
Back
Top Bottom