Pesa za nani zinajenga mahekalu haya kijijini kwa Kikwete

Kwa mtazamo wangu naona hapa tunahitaji data kamili kabla ya ku judge kama pana makosa yanayotendeka au la. Kwa walio karibu, ni kiasi cha kusoma mabango ya ujenzi inatosha. Ikiwa hiyo haipo, kuna mtu au watu waliotoa kibali cha ujenzi, waliochora ramani na wanofuatlia ujenzi. Itakuwa ni kushusha heshima ya mjadala ikiwa kama hayo ni majengo ya kawaida yasiyohusika kwa namana yoyote na utumiaji mbaya wa pesa!
 
kwa Mtazamo Wangu Naona Hapa Tunahitaji Data Kamili Kabla Ya Ku Judge Kama Pana Makosa Yanayotendeka Au La. Kwa Walio Karibu, Ni Kiasi Cha Kusoma Mabango Ya Ujenzi Inatosha. Ikiwa Hiyo Haipo, Kuna Mtu Au Watu Waliotoa Kibali Cha Ujenzi, Waliochora Ramani Na Wanofuatlia Ujenzi. Itakuwa Ni Kushusha Heshima Ya Mjadala Ikiwa Kama Hayo Ni Majengo Ya Kawaida Yasiyohusika Kwa Namana Yoyote Na Utumiaji Mbaya Wa Pesa!

...hapa Hoja Sio Majengo Yanajengwa Kwa Pesa Za Kufuja Au La!!!.....hoja Ni Kuwa Majengo Yanajengwa ..period!!!!

...hoja Hii Si Ngeni Hapa Forum ....ilianza Miezi Sita Tu Tangu Anainga ..ujenzi Ulipoanza..na Tulimbana Mleta Hoja...alete Picha Na Akasome Vibao.....ukweli Ni Kuwa Baadaye Na Wengine Tulifuatilia Na Kukuta Hakuna Ubao Wowote Wa Ujenzi Uliowekwa Sehemu Zote Mbili..kama Sheria Zinavyotaka....

....ukweli Wa Miradi.....unatokana Na Kuwa Inafanyika Shambani Kwake....na Yeye Siku Zote Wiki End Akiwa Nchini Hutumia Huko...na Kuna Walioongea Na Majirani Zake Hapo..

...nadhani Hoja Ya Kuwa Hiii Miradi Ni Yake Au Sio Yake Ilishajibiwa ...fuatilia Thread Za Nyuma Ya Hii...tunatakiwa Tu Kujiridhisha ...kama Amejenga Kwa Jasho Lake Sio Vibaya..hasa Kama Si Tone La Pesa Zetu....tatizo Ni Kuwa Majumba Ni Makubwa Na Mengi....angeweza Kujitoa Kwa Namna Nyingine.......akijua Wazi Kuwa Serikali Itamjengea Makazi Atakapostaafu...

Lakini Zaidi Ya Yote Huu Ni Uamuzi Wake Binafsi....na Kupanga Ni Kuchagua
 
Hivi huko Bongo hakuna mtu mwenye kamera na muda wa kuyapiga picha ili angalau tuwe na idea what we are talking about..?
 
anapata wapi mabilioni yote hayo kujenga makazi ya kifahari katika taifa maskini kama hili? mbona nyerere hakuweza kufanya haya kwa miaka yote 24 aliyokaa ikulu?....
Sina uhakika kama habari hizi zinaukweli wowote ndani yake; lakini inasemekana kuwa kila mara Mw.Nyerere alipokuwa ndani ya gari akielekea Msasani nyumbani kwake pale,basi kuanzia kile kipande cha Shoppers plaza hadi kwenye lile duka la 'Butiama' alikuwa akiinamisha kichwa kwa kujificha,alikuwa akipatwa na Presha kutizama yale mahekalu yaliyoota kama uyoga.Alishangaa na kujiuliza Wa-Tanzania maskini aliye wajua yeye kwa takriban miaka 30,wamepatawapi mamilioni ya kujenga majumba kama yale.
 
Hivi huko Bongo hakuna mtu mwenye kamera na muda wa kuyapiga picha ili angalau tuwe na idea what we are talking about..?

mmj KWA MAJUUMBA YA CHALINZE NI RAHISI SANA ITABIDI KAMA KUNA MWANDISHI UNAMFAHAMU...AENDE NA KAMERA KUBWA..INAYOWEZA KUVUTA KM 1 AU 2....MAANA MAJENGO YA GOROFA WANAYOONGELEA HAPA YANAONEKANA KWA MBALI KILIMANI UKIWA UNASHUKA NA BARABARA.....KM 10 BAADA YA KUTOKA CHALINZE UKIELEKEA SEGERA......UPANDE WA KUSHOTO....UKIFIKIA USAWA HUO KUNA MITI MIKUBWA NA ACCESS ROAD TU,,..HUTAONA CHOCHOTE ..HII INALAZIMU KUWA NA KAMERA PROFFESSION...USIMAME UVUTE UPIGE....SASA NADHANI HILI NDILO LINALETA UGUMU AU HAO WAANDISHI WANAOGOPA SIJUI..LAKINI...UNAWEZA KUMPATA MMOJA AAKAKUTUMIA PICHA...

KWA HII YA MIGOMBANI ....IMEZUNGUSHIWA UKUTA MKUBWA ..NA ULINZI UPO...NADHANI PIA HII INAKUWA NGUMU KWA MTU KWENDA TU KUJIPIGIA PICHA BILA KUJULIKANA MOTIVE ..NA INAJULIKANA WAZI KUWA HIZI PICHA ZINATAFUTWA
.....
 
Sina uhakika kama habari hizi zinaukweli wowote ndani yake; .

SIJUI WATANZNIA TUMELOGWA NA NANI ..NA MCHAWI INAONEKANA KASHAKUFA....TANGU MWANZO WALIAMBIWA MAMBO YA JAMAA WALIKUWA HAWAAMNI...MPAKA TUJE TUAMINI ITAKUWA MWANA 2014.....

..SINCERELY HATA MIMI MARA YA KWANZA HII HOJA INAKUJA MARA YA KWANZA 2006 MWISHONI....SIKUAMINI,BAADA YA KUINGIA DEEP..NA KUFIKA MAENEO HUSIKA ..I CAME TO REALIZE....SO ISIMUUMIZE MTU YEYOTE..UAMUZI WA KUAMINI AU KUTOKUAMINI!!!.......take your own time kufuatilia ..... kuna hoja nzito zaidi ya hizi ...zinaletwa hapa kuhusu ...hutaamini..lakini ndio ukweli!!

..nashauri uamuzi wa kuamini au kutoamini ..bora tu mwanaforum au reserve...hasa kwenye ishu za mkulu....maana mkitaka kuamini zote mara moja mtaweka mikono kichwani na kulia .waitu.....maweee!!
 
tunataka rais akistaafu aweze kuwa na nyumba ya kuishi na wakati mwingine siyo vibaya serikali ikamjengea kwa uwazi bila kificho. je kuna anayejua huu ujenzi wa kasi wa vicoba msoga nani anaufadhili? ni taratibu za kawaida? nikijibiwa maswali haya sina wasiwasi nao. mjue kuwa muungwana ana miaka miwili tu ikulu.
Mkuu usisahau kuwa licha ya Mradi wa NCHI,Mkulu ni Mkulima stadi,ana shamba kubwa sana la MANANASI,ameifanya biashara hii kwa takriban miaka miwili unusu na anashauri kuwa ni biashara yenye kurudisha faida kwa haraka sana!!Isitoshe Wataalam wa kigeni (Iranians,Asians,Canadians)wapo kwa kutoa ushauri wa Bure.
**Mwikimbi wala usiwe na hofu,JK anajifadhili mwenyewe!Akidunduliza kwenye Mradi wa NCHI na wa MANANASI,mwakani lazima na kwa Bi.Salma kupendeze tu.
 
Mtumeee!!! haya mahekalu nilimeyaona..yapo mlimani ukiwa barabarani unayaona. Jinsi yalivyotapakaa nilikuwa nadhani ni taasisi ya kanisa vile au taasisi fulani nyingine inaanzishwa pale. Kumbe ni nyumba za mtu binafsi. Hiyo ni kufuru kwa kweli. Hivi ndiyo vithibitisho vitakavyokuja kummaliza huyu jamaa.
 
SIJUI WATANZNIA TUMELOGWA NA NANI ..NA MCHAWI INAONEKANA KASHAKUFA....TANGU MWANZO WALIAMBIWA MAMBO YA JAMAA WALIKUWA HAWAAMNI...MPAKA TUJE TUAMINI ITAKUWA MWANA 2014.....

Maneno mazito sna mkuu haya, ndivyo hasa tulivyo!
 
Wananet,
Mie siyo mwenyeji wa sana wa Pwani. Sina uhakika hii sehemu mnayoisema na mie ntakayoonyesha kama ndiyo hiyo. Nimeamua kutafuta kwanza Kikwete alizaliwa na kukulia wapi baada ya kusoma kuwa kajenga kwao. Nimeona kuwa ni Msoga. Sasa ukifungua GOOGLE EARTH na kuitafuta Msoga, utaiona na tena iko ZOOMED. Ukifika hapo panda juu kidogo huku ukienda upande wa kulia karibu na barabara ya lami. Utaona majengo mazuri kwa juu na kweli yamezuiwa na ukuta na miti mirefu kiasi kwamba ukiwa barabarani huwezi ona ila dunia ya leo hufichi kitu. Kama ndiyo hayo basi ni kuwa YANAONEKANA. Naomba mtu ambaye kashayaona na aangalie kwenye GOOGLE EARTH na athibitishe kama ndiyo hayo.
 
jana nilipita sehemu inayoitwa msoga kama km kumi ukitokea chalinze, kwenda arusha. kuna kitongaji kinaitwa vicoba hapa ndo nyumbani kwa jk. kuna ujenzi wa majengo kama 14 yanajengwa pale. wenyeji wanasema inajengwa ikulu pale.

muungwana jk, kila jumamosi anakuja kukagua ujenzi.inasemekana kuwa anakuja kupitia mlandizi, anafika vocoba then anarudia bagamoyo kupitia kwa wazee wake pale bagamoyo.
pia kuna ujenzi wa majengo mawili ya ghorofa nne, yamejengwa na nationa l housing nje kidogo ya chalinze, inasemekana ni kwa ajili ya wafanyakzi watakaoukuwa wannafanya kazi ikulu ya vicoba

je ni nani anafadhili ujenzi wa ikulu mpyaa vicoba? kama ni serikali iko kwenye bajeti?

isije ikawa yale mambo ya mobutu seseko kuhamishia ikulu kule gbaolite!
mwenye information naomba annielimishe

Mwikimbi,
Nimekuja usoma ujumbe wako huku nikiwa nimeandika ule wa kwanza. Sasa nina uhakika kuwa ni majengo hayo uliyosema. Ni kweli yapo Msoga karibu na barabara ya kwenda Arusha upande wa kushoto. Si kuwa ni mengi ila yameunganishwa na kwa mbali yanaonekana kama mengi a tofauti. Ukivuta Program ya GOOGLE EARTH (free) na kuinstall program na baadaye sehemu ya kutafutia andika MSOGA. Utayaona yote kwa juu. Maelezo mengine soma ujumbe wangu wa juu.....
 
Lusajo,
Ukifika MSOGA, fuata ile barabara ya VUMBI kwenda uoande wa kulia na unakuwa kama unapanda juu kuelekea barabara ya lami kama NYUZI 45 hivi. Baadaye barabara zinagawanyika na chukua ile ya juu ambayo inakupeleka hadi kwenye almost gate la hiyo compound. Kati ya hizo barabara mbili za vumbi kuna miti mingi inaonekana. na ukienda mita kadhaa unakuwa umefika kwenye barabara ya Lami. Kumbuka Msoga iko upande wa kushoto kama unakwenda Arusha baada ya kutoka Chalinze.
 
Kama kutakuwa na mtu bado anamatatizo basi aulize ili kumuelekza zaidi. Inabidi uZOOM kidogo maana majengo kwa juu yamepakwa rangi ya kijani hivyo unaweza fikiri ni miti tu.
Ukiangalia ukubwa wa BUS au upana wa barabara kwenye hiyo picha na uangalie ukubwa wa majengo yale, Mhhh naona Butiama itahamia hapa. Sijui na yeye atakuja kuwa anapokea Wageni kutoa Busara kama Mzee wa Butiama. Yetu macho. Ila kweli eneo kubwa na limependeza. Wenye wivu ngoja tukajinyonge 50 times kama Wazimbabwe wanavyosema.
 
Lusajo,
Ukifika MSOGA, fuata ile barabara ya VUMBI kwenda uoande wa kulia na unakuwa kama unapanda juu kuelekea barabara ya lami kama NYUZI 45 hivi. Baadaye barabara zinagawanyika na chukua ile ya juu ambayo inakupeleka hadi kwenye almost gate la hiyo compound. Kati ya hizo barabara mbili za vumbi kuna miti mingi inaonekana. na ukienda mita kadhaa unakuwa umefika kwenye barabara ya Lami. Kumbuka Msoga iko upande wa kushoto kama unakwenda Arusha baada ya kutoka Chalinze.


.WAZEE KWELI JF WATU MBINU ZIPO....PAMOJA NA KUIJUA GOOGLE EARTH..JANA WAKATI MJJ ANAULIZA NAMNA YA KUPATA PICHA ..SIO MIMI WALA YEYE ALIYEKUMBUKA GOOGLE EARTH..

SIKONGE AMEMALIZA WAZEE......KAMALIZA KABISA NJIA YA VUMBI UPANDE WA KUSHOTO ...KULIA kuna KWA barabara KUU KUNA MSIKITI MPYA.......UNAANGALIANA NA BARABARA YA VUMBI........
 
Ok ngoja nicheki hiyo google.. possible nitaweza kuwakea kama picha.. PM na Sikonge yaani mmetukumbusha tunaishi kwenye karne ya 21!
 
jana Nilipita Sehemu Inayoitwa Msoga Kama Km Kumi Ukitokea Chalinze, Kwenda Arusha. Kuna Kitongaji Kinaitwa Vicoba Hapa Ndo Nyumbani Kwa Jk. Kuna Ujenzi Wa Majengo Kama 14 Yanajengwa Pale. Wenyeji Wanasema Inajengwa Ikulu Pale.

Muungwana Jk, Kila Jumamosi Anakuja Kukagua Ujenzi.inasemekana Kuwa Anakuja Kupitia Mlandizi, Anafika Vocoba Then Anarudia Bagamoyo Kupitia Kwa Wazee Wake Pale Bagamoyo.
Pia Kuna Ujenzi Wa Majengo Mawili Ya Ghorofa Nne, Yamejengwa Na Nationa L Housing Nje Kidogo Ya Chalinze, Inasemekana Ni Kwa Ajili Ya Wafanyakzi Watakaoukuwa Wannafanya Kazi Ikulu Ya Vicoba

Je Ni Nani Anafadhili Ujenzi Wa Ikulu Mpyaa Vicoba? Kama Ni Serikali Iko Kwenye Bajeti?

Isije Ikawa Yale Mambo Ya Mobutu Seseko Kuhamishia Ikulu Kule Gbaolite!
Mwenye Information Naomba Annielimishe

See Attached Google Earth Photo
 
Back
Top Bottom