Pesa za Michango ya Wahanga wa teteko la Kagera inatumika kutekeleza ilani ya CCM?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Hivi ni kwanini tusiwe wawazi kiusema kua tumetumia pesa hizo tukekeleza ilani ya Chama ili 2020 tusiumbuke? Maana nimesikia mpaka habari ya kukunulia ndege kwenye habari za Michango ya Kagera.

Tuambizane ukweli japo wanamchi wameshalifahamu hilo, Tukumbuke kua tuliambiwa kwamba kama kuna mtu anaguswa na suala la ndugu yake kulala nje na kukosa Chakula atume chochote. Sasa hicho chochote huyu aliyelala nje kingemfikiaje? Mungu pekee haya mambo anayaona.
 
Na walioahidi kuchangia halafu mpaka Juzi walikuwa hawajachangia Mzee kasema Orodha Yao anayo na wawasilishe Michango Yao Kama walivyoahidi Mara moja!

Huu ni Muda wa kunyoosha Nchi Kama unataka mambo ya kubembelezana nenda Msoga
 
Kuna muda nakubaliana na facts kwamba inawezekana bustani ya Eden ilikuwa Tanzania

Sio kwa uvumilivu huu
 
Na walioahidi kuchangia halafu mpaka Juzi walikuwa hawajachangia Mzee kasema Orodha Yao anayo na wawasilishe Michango Yao Kama walivyoahidi Mara moja!

Huu ni Muda wa kunyoosha Nchi Kama unataka mambo ya kubembelezana nenda Msoga
Sasa hicho kinachonyooshwa kionekane basi kwa vitendo sio kelele tu wakati hatujui kilichopinda ni nini ,hata chini ya kiuno kuna vilivyopinda
 
Jambo la Kagera ni doa kubwa sana kwa CCM, Bwa Ngosha na Serikali yake, pamoja na taifa kwa ujumla..!!

Halitakuja kufutika, aombe Mungu sana yasitokee majanga mengine kwenye utawala wake.

Na mi namuombea, japo naamin Mungu hata sikia maombi yangu..!!
 
Jambo la Kagera ni doa kubwa sana kwa CCM, Bwa Ngosha na Serikali yake, pamoja na taifa kwa ujumla..!!

Halitakuja kufutika, aombe Mungu sana yasitokee majanga mengine kwenye utawala wake.

Na mi namuombea, japo naamin Mungu hata sikia maombi yangu..!!
Na kweli kabisa tuombe Mungu majanga mengine yasitokee.
 
Back
Top Bottom