GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,672
mimi nauliza tu, maana naona jamaa wako 'Bize' na audio za Membe na makamba.
Ina maana ndio tushaumizwa, Tatizo hata ufafanuzi wa nini wanakifanya hawautoi.
Wenzenu wana njaa, semeni chochote basi.................... hata kama mmeshindwa semeni
ili watu washukuru wajue tumemwachia Mungu maisha yaweze kuendelea.
Ina maana ndio tushaumizwa, Tatizo hata ufafanuzi wa nini wanakifanya hawautoi.
Wenzenu wana njaa, semeni chochote basi.................... hata kama mmeshindwa semeni
ili watu washukuru wajue tumemwachia Mungu maisha yaweze kuendelea.