Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
Laki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
Sijui huwaga zina nini. Kipindi nasoma nilijitahidi kubana angalau hata nikimaliza nibaki na kabalance kadogo lakini wapi. Nilipomaliza chuo na zenyewe zikapita hivi duu ni balaa.Laki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hakuna uchawi wowote. Zimekokotolewa na wachumi nguli wa bodi ya mikopo kiasi kwamba ukimaliza chuo huondoki na senti moja!
Nahisi simu inawamalizia sana hela yenu.Laki tano ya chuo hasa ya boom sio pesa kabisa ndani ya week 1 au 2 unakuwa mweupee peee, sijui zina nini zile pesa aisee.