Pesa yetu tuweke picha ya Rais Samia kama ukumbusho kwa vizazi vijavyo

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Tukiwa tunatoka katika Miaka 60 ya Uhuru na kuanza miaka 61 ya Uhuru, kama Taifa tuna historia katika hili taifa, moja ya historia ni kumpoteza kiongozi wajuu kitaifa kwamaana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Hili alikuwa jambo la kawaida kwani ilikuwa ni mara ya kwanza kama taifa hivyo tulihitaji ujasili wa hali ya juu sana! Lakini Mungu akatuongoza na tukaweza kuvuka na tukaka tukatuliza akili tukaisoma katiba yetu ikatwambia lazima Makamu wa Rais ndiye atashika Madaraka kwa kipindi kilichobakia!! Na makamu wa Rais alikuwa Mama Samia Suluhu hassani akasimikwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na leo anatuongoza kama taifa.

Lakini katika historia ya nchi hii hili lilikuwa tukio la kwanza kuongozwa na Mwanamke hata mchifu watemi hawakuwa kuongoza wanawake kama wapo walilithishwa na hawakuongoza!
Hivyo kitendo chakuwa na Rais Mwanamke ni Historia nyingine.

Historia kwa mtazamo wangu naziona hizi katika hili taifa!
  1. Kupata Uhuru
  2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
  3. Kumpoteza Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
  4. Nchi kuingia katika vita na Uganda na Kuikomboa Ardhi ya Tanzania katika mikono ya Nduli Idi Amin
  5. Kumpoteza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiwa madarakani kwa mara ya kwanza tangu kuumwa taifa hili.
  6. Kupata Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mwanamke kwa mara ya kwanza tangu kundwa kwa Taifa hili.
Katika matukio haya yote tuliweza kuvuka salama na tuko salama
Leo tupo na Rais wa Kwanza katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mwanamke hii ni Heshima Kubwa kwetu watanzania

Katika matukio yote niliyoyataja ni alama katika Taifa letu.

Leo kuwa na Rais Mwanamke katika Taifa letu la Tanzania kwa mara yakwanza ni heshima kubwa sana kwani kwa Afrika mashariki nadhani ni wakwanza na katika afrika atakuwa Rais wa tatu mwanamke!lazima kama watanzania tujivunie kwa hilo.Rais Samia amekuwa Rais wa kuigwa kwanza ni Rais ambaye amekuta nchi imevurugika ikiwa na chuki kiwango cha 178% lakini ameweza kushusha chuki kabisa hadi sasa tunaona maridhiano baina ya taasisi na serikali yakifanyika kiwango cha chuki kikiwa kimeisha labda kwa sasa ni 1.0% yachuki. Kwa haya yote lazima tuwe nakitu cha kuweka alama hata kizazi kijacho kikija kijue kabla ya kusoma katika vitabu kuwa tulikuwa na Rais Mwanamke!

Mimi kwa Maoni yangu na nionavyo mimi nimuombe Waziri Mwenye dhamana Mh Lameck Mwigulu Mchemba Akishirikiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Florens Luogaa wapendekeze Itengenezwe pesa yenye Sura ya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan kama ukumbusho wa Taifa hili la Tanzania na Afrika Mashariki na kwa Afrika.

Kwani itakumbukwa ni Rais wa (3) Mwanamke kwa Afrika. Rais wetu amefanya kazi kubwa kwa uwezo wake wakushawishi, kwani hata Jumuiya za kimataifa zinatambua mchango wake.

Hii itakuwa Heshima kwa Rais wetu na vizazi vijavyo mnaweza wanaweza kuweka katika Noti hizi:-
Noti ya 2000
Noti ya 5000
Noti ya 10000

Moja wapo ya hizi noti Rais wetu akiwepo kwani itakuwa heshima kwa watanzania na vizazi vijavyo pia.
Tusikumbatie sana mifumo ya kimagharibi maana hapa watakuja watu wakisema mbona dola au paund haijawahi kubadilishwa ule ni utamaduni wao na sisi tuendele na utamaduni wetu.

Asanteni.
 
Ujamaa uliathiri sana akili za watu wa Taifa hili. Kwenye ujamaa ni kusifu na kuabudu watawala tu, yaani kipaumbile ni utawala.
Nchi ina miaka 60 tokea uhuru, hakuna umeme wa kuaminika, maji shida kila kona ila watu wako busy kusifu na kuabudu watawala..
Typical Shithole Country...
 
Tukiwa tunatoka katika Miaka 60 ya Uhuru na kuanza Miaka 61 ya Uhuru,kama Taifa tuna historia katika hili taifa,moja ya historia ni kumpoteza kiongozi wajuu kitaifa kwamaana Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Hili alikuwa jambo la kawaida kwani ilikuwa ni mara yakwanza kama taifa hivyo tulihitaji ujasili wa hali ya juu sana! lakini Mungu akatuongoza na tukaweza kuvuka na tukaka tukatuliza akili tukaisoma katiba yetu ikatwambia lazima Makamu wa Rais ndiye atashika Madaraka kwakipindi kilichobakia!! Na makamu wa Rais alikuwa Mama Samia Suluhu hassani akasimikwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na leo anatuongoza kama taifa.
Lakini katika historia ya nchi hii hili lilikuwa tukio la kwanza kuongozwa na Mwanamke hata mchifu watemi hawakuwa kuongoza wanawake kama wapo walilithishwa na hawakuongoza!
Hivyo kitendo chakuwa na Rais Mwanamke ni Historia nyingine.

Historia kwa mtazamo wangu naziona hizi katika hili taifa!
  1. Kupata Uhuru
  2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
  3. Kumpoteza Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
  4. Nchi kuingia katika vita na Uganda na Kuikomboa Ardhi ya Tanzania katika mikono ya Nduli Idi Amin
  5. Kumpoteza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiwa madarakani kwa mara ya kwanza tangu kuumwa taifa hili.
  6. Kupata Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mwanamke kwa mara ya kwanza tangu kundwa kwa Taifa hili.
Katika matukio haya yote tuliweza kuvuka salama na tuko salama
Leo tupo na Rais wa Kwanza katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mwanamke hii ni Heshima Kubwa kwetu watanzania
Katika matukio yote niliyoyataja ni alama katika Taifa letu.
Leo kuwa na Rais Mwanamke katika Taifa letu la Tanzania kwa mara yakwanza ni heshima kubwa sana kwani kwa Afrika mashariki nadhani ni wakwanza na katika afrika atakuwa Rais wa tatu mwanamke!lazima kama watanzania tujivunie kwa hilo.Rais Samia amekuwa Rais wa kuigwa kwanza ni Rais ambaye amekuta nchi imevurugika ikiwa na chuki kiwango cha 178% lakini ameweza kushusha chuki kabisa hadi sasa tunaona maridhiano baina ya taasisi na serikali yakifanyika kiwango cha chuki kikiwa kimeisha labda kwa sasa ni 1.0% yachuki. Kwa haya yote lazima tuwe nakitu cha kuweka alama hata kizazi kijacho kikija kijue kabla ya kusoma katika vitabu kuwa tulikuwa na Rais Mwanamke!
Mimi kwa Maoni yangu na nionavyo mimi nimuombe Waziri Mwenye dhamana Mh Lameck Mwigulu Mchemba Akishirikiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Florens Luogaa wapendekeze Itengenezwe pesa yenye Sura ya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
@SuluhuSamia
kama ukumbusho wa Taifa hili la Tanzania na Afrika Mashariki na kwa Afrika. Kwani itakumbukwa ni Rais wa (3)Mwanamke kwa Afrika. Rais wetu amefanya kazi kubwa kwa uwezo wake wakushawishi, kwani hata Jumuiya za kimataifa zinatambua mchango wake.
Hii itakuwa Heshima kwa Rais wetu na vizazi vijavyo mnaweza wanaweza kuweka katika Noti hizi:-
Noti ya 2000
Noti ya 5000
Noti ya 10000
Moja wapo ya hizi noti Rais wetu akiwepo kwani itakuwa heshima kwa watanzania na vizazi vijavyo pia.
Tusikumbatie sana mifumo ya kimagharibi maana hapa watakuja watu wakisema mbona dola au paund haijawahi kubadilishwa ule ni utamaduni wao na sisi tuendele na utamaduni wetu.

Asanteni.
Haya so lazima yafanyike sasa,hata akisha maliza muda wake wajao wakiona umuhimu wake wata muweka.Kumbuka Karume amewekwa katika fedha baadae sana na tena akiwa kaburini,baada ya Hayati Mh.Mkapa kukataa sura take isiwekwe katika fedha,ndipo baadhi yake ni Wanyama,Raid was 1 Zanzibar na Tz bara.Tumefiwa,tumezika wenzetu kwa Korona na janga la kiuchumi linalo sababishwa na vita vinavyoendea Nara Asia.Kwa sasa I'll wazo halina kipaumbele chochote kama ilivyo onekana Katiba ya nchi haina kipaumbele,vyote hivi vina gharimu nchi so kama kununua mayai ya kuku wa Broiler !

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Utakuta mleta mada nae ana familia na watoto na ndiye wanaemtegemea kama kichwa cha familia!!!
😂😂😂😂😂
 
Ujamaa uliathiri sana akili za watu wa Taifa hili. Kwenye ujamaa ni kusifu na kuabudu watawala tu, yaani kipaumbile ni utawala.
Nchi ina miaka 60 tokea uhuru, hakuna umeme wa kuaminika, maji shida kila kona ila watu wako busy kusifu na kuabudu..
Umeme upi unaongelea Mkuu wakati mpaka umefika hapa ni umeme au unaishi kwa mabepari?
 
Tukiwa tunatoka katika Miaka 60 ya Uhuru na kuanza Miaka 61 ya Uhuru,kama Taifa tuna historia katika hili taifa,moja ya historia ni kumpoteza kiongozi wajuu kitaifa kwamaana Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Hili alikuwa jambo la kawaida kwani ilikuwa ni mara yakwanza kama taifa hivyo tulihitaji ujasili wa hali ya juu sana! lakini Mungu akatuongoza na tukaweza kuvuka na tukaka tukatuliza akili tukaisoma katiba yetu ikatwambia lazima Makamu wa Rais ndiye atashika Madaraka kwakipindi kilichobakia!! Na makamu wa Rais alikuwa Mama Samia Suluhu hassani akasimikwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na leo anatuongoza kama taifa.
Lakini katika historia ya nchi hii hili lilikuwa tukio la kwanza kuongozwa na Mwanamke hata mchifu watemi hawakuwa kuongoza wanawake kama wapo walilithishwa na hawakuongoza!
Hivyo kitendo chakuwa na Rais Mwanamke ni Historia nyingine.

Historia kwa mtazamo wangu naziona hizi katika hili taifa!
  1. Kupata Uhuru
  2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
  3. Kumpoteza Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
  4. Nchi kuingia katika vita na Uganda na Kuikomboa Ardhi ya Tanzania katika mikono ya Nduli Idi Amin
  5. Kumpoteza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiwa madarakani kwa mara ya kwanza tangu kuumwa taifa hili.
  6. Kupata Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mwanamke kwa mara ya kwanza tangu kundwa kwa Taifa hili.
Katika matukio haya yote tuliweza kuvuka salama na tuko salama
Leo tupo na Rais wa Kwanza katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mwanamke hii ni Heshima Kubwa kwetu watanzania
Katika matukio yote niliyoyataja ni alama katika Taifa letu.
Leo kuwa na Rais Mwanamke katika Taifa letu la Tanzania kwa mara yakwanza ni heshima kubwa sana kwani kwa Afrika mashariki nadhani ni wakwanza na katika afrika atakuwa Rais wa tatu mwanamke!lazima kama watanzania tujivunie kwa hilo.Rais Samia amekuwa Rais wa kuigwa kwanza ni Rais ambaye amekuta nchi imevurugika ikiwa na chuki kiwango cha 178% lakini ameweza kushusha chuki kabisa hadi sasa tunaona maridhiano baina ya taasisi na serikali yakifanyika kiwango cha chuki kikiwa kimeisha labda kwa sasa ni 1.0% yachuki. Kwa haya yote lazima tuwe nakitu cha kuweka alama hata kizazi kijacho kikija kijue kabla ya kusoma katika vitabu kuwa tulikuwa na Rais Mwanamke!
Mimi kwa Maoni yangu na nionavyo mimi nimuombe Waziri Mwenye dhamana Mh Lameck Mwigulu Mchemba Akishirikiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Florens Luogaa wapendekeze Itengenezwe pesa yenye Sura ya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
@SuluhuSamia
kama ukumbusho wa Taifa hili la Tanzania na Afrika Mashariki na kwa Afrika. Kwani itakumbukwa ni Rais wa (3)Mwanamke kwa Afrika. Rais wetu amefanya kazi kubwa kwa uwezo wake wakushawishi, kwani hata Jumuiya za kimataifa zinatambua mchango wake.
Hii itakuwa Heshima kwa Rais wetu na vizazi vijavyo mnaweza wanaweza kuweka katika Noti hizi:-
Noti ya 2000
Noti ya 5000
Noti ya 10000
Moja wapo ya hizi noti Rais wetu akiwepo kwani itakuwa heshima kwa watanzania na vizazi vijavyo pia.
Tusikumbatie sana mifumo ya kimagharibi maana hapa watakuja watu wakisema mbona dola au paund haijawahi kubadilishwa ule ni utamaduni wao na sisi tuendele na utamaduni wetu.

Asanteni.
Chawa wana namna nyingi za kujikomba
 
Sioni wapi nimekosea kwani hapa ni maoni siyo lazima uchangie unaweza kupita kimya kimya!
 
Tukiwa tunatoka katika Miaka 60 ya Uhuru na kuanza Miaka 61 ya Uhuru,kama Taifa tuna historia katika hili taifa,moja ya historia ni kumpoteza kiongozi wajuu kitaifa kwamaana Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Hili alikuwa jambo la kawaida kwani ilikuwa ni mara yakwanza kama taifa hivyo tulihitaji ujasili wa hali ya juu sana! lakini Mungu akatuongoza na tukaweza kuvuka na tukaka tukatuliza akili tukaisoma katiba yetu ikatwambia lazima Makamu wa Rais ndiye atashika Madaraka kwakipindi kilichobakia!! Na makamu wa Rais alikuwa Mama Samia Suluhu hassani akasimikwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na leo anatuongoza kama taifa.
Lakini katika historia ya nchi hii hili lilikuwa tukio la kwanza kuongozwa na Mwanamke hata mchifu watemi hawakuwa kuongoza wanawake kama wapo walilithishwa na hawakuongoza!
Hivyo kitendo chakuwa na Rais Mwanamke ni Historia nyingine.

Historia kwa mtazamo wangu naziona hizi katika hili taifa!
  1. Kupata Uhuru
  2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
  3. Kumpoteza Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
  4. Nchi kuingia katika vita na Uganda na Kuikomboa Ardhi ya Tanzania katika mikono ya Nduli Idi Amin
  5. Kumpoteza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania akiwa madarakani kwa mara ya kwanza tangu kuumwa taifa hili.
  6. Kupata Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mwanamke kwa mara ya kwanza tangu kundwa kwa Taifa hili.
Katika matukio haya yote tuliweza kuvuka salama na tuko salama
Leo tupo na Rais wa Kwanza katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mwanamke hii ni Heshima Kubwa kwetu watanzania
Katika matukio yote niliyoyataja ni alama katika Taifa letu.
Leo kuwa na Rais Mwanamke katika Taifa letu la Tanzania kwa mara yakwanza ni heshima kubwa sana kwani kwa Afrika mashariki nadhani ni wakwanza na katika afrika atakuwa Rais wa tatu mwanamke!lazima kama watanzania tujivunie kwa hilo.Rais Samia amekuwa Rais wa kuigwa kwanza ni Rais ambaye amekuta nchi imevurugika ikiwa na chuki kiwango cha 178% lakini ameweza kushusha chuki kabisa hadi sasa tunaona maridhiano baina ya taasisi na serikali yakifanyika kiwango cha chuki kikiwa kimeisha labda kwa sasa ni 1.0% yachuki. Kwa haya yote lazima tuwe nakitu cha kuweka alama hata kizazi kijacho kikija kijue kabla ya kusoma katika vitabu kuwa tulikuwa na Rais Mwanamke!
Mimi kwa Maoni yangu na nionavyo mimi nimuombe Waziri Mwenye dhamana Mh Lameck Mwigulu Mchemba Akishirikiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Florens Luogaa wapendekeze Itengenezwe pesa yenye Sura ya Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
@SuluhuSamia
kama ukumbusho wa Taifa hili la Tanzania na Afrika Mashariki na kwa Afrika. Kwani itakumbukwa ni Rais wa (3)Mwanamke kwa Afrika. Rais wetu amefanya kazi kubwa kwa uwezo wake wakushawishi, kwani hata Jumuiya za kimataifa zinatambua mchango wake.
Hii itakuwa Heshima kwa Rais wetu na vizazi vijavyo mnaweza wanaweza kuweka katika Noti hizi:-
Noti ya 2000
Noti ya 5000
Noti ya 10000
Moja wapo ya hizi noti Rais wetu akiwepo kwani itakuwa heshima kwa watanzania na vizazi vijavyo pia.
Tusikumbatie sana mifumo ya kimagharibi maana hapa watakuja watu wakisema mbona dola au paund haijawahi kubadilishwa ule ni utamaduni wao na sisi tuendele na utamaduni wetu.

Asanteni.
Itapendeza zaidi
 
Ukumbusho wa nini?
Picha za watangulizi wake hazipo why yeye!
Msituchoshe
Picha ya Mwalimu yatosha
 
Kama atakua na uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya Bora na NZURI nitakua wa kwanza kusapoti hii kitu
 
Ukumbusho wa nini?
Picha za watangulizi wake hazipo why yeye!
Msituchoshe
Picha ya Mwalimu yatosha
Watanguli kama wapi?? hapa ni swala lakuwa na alama kwa kitu kilichotokea nchini kwani ni tukio halijawai kutokea kuwa na Rais wa Mwanamke!
 
Back
Top Bottom