Pesa hii ni haki yao lakn mpaka sasa wanaanza mwezi wa pili makazini bila kulipwa pesa yao ya kujikim serikal inafikiria nn juu ya hili?? kwenye tangazo la ajira lilionesha matumaini kua pesa ipo na atakaechukua pesa ya kujikim na kuondoka atachukuliwa hatua kali.. lakn mpaka leo tar 17.6.2017 hamna pesa ya kujikim...