k-star
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 541
- 381
kwa nini serikari inabadilisha badilisa pesa kwa raia wake.? . Hizi mpya sijaona uimara wake nilifikiri zitakuwa bora zaidi kuliko hizo za hapo awali. Sasa ni afadhari hizi mpya ziondolewe kwenye mzunguko maana zimechoka kabisa tubaki na zile za awali kabla ya hizi . Nawasilisha wakuu yangu ni hayo tu !