Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,495
- 13,132
Msichana kama anakupenda kweli hawezi kukuomba omba pesa.
Ukimuona binti anakupenda wewe kwa sababu unampa sana pesa, hapo hupendwi wewe bali zinapendwa pesa zako. Usijidanganye kwamba unapendwa kweli.
Binti anapokupenda kweli atakuomba pesa pale anapokuwa na shida ya kueleweka.
Siku ukiishiwa/ukiwa huna pesa mapenzi hufikia ukomo
Na kwakua pesa imetawala sana mahusiano ya siku hizi, ndiyo maana mapenzi ya kweli ni ngumu kupatikana
Pesa ni muhimu,lakini msiiendekeze, hata kama mtu alikuwa anakupenda sana, unamfanya aanze kufikiria mara mbili mbili.
Ukimuona binti anakupenda wewe kwa sababu unampa sana pesa, hapo hupendwi wewe bali zinapendwa pesa zako. Usijidanganye kwamba unapendwa kweli.
Binti anapokupenda kweli atakuomba pesa pale anapokuwa na shida ya kueleweka.
Siku ukiishiwa/ukiwa huna pesa mapenzi hufikia ukomo
Na kwakua pesa imetawala sana mahusiano ya siku hizi, ndiyo maana mapenzi ya kweli ni ngumu kupatikana
Pesa ni muhimu,lakini msiiendekeze, hata kama mtu alikuwa anakupenda sana, unamfanya aanze kufikiria mara mbili mbili.