Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Asilimia 99% ya vijana huishi maisha ambayo si yao kiundani kutokana na ukosefu wa fedha.
Pesa inaharibu future ya kijana angali mdogo kabisa na ndio maana asilimia kubwa ya mateja ,malaya ,wakabaji,wezi, wanatokea uswahilini ambapo asilimia kubwa maisha ni magumu.
Kuna kundi kubwa la vijana walikuwa wanauwezo mkubwa sana wa darasani lakini mwisho wa siku wanashindwa kutimiza ndoto zao za kielemu kutokana na ufukara unaowakabili mwisho wa siku stress zinawapelekea mpaka kuanza kutumia bangi,vilevi vikali vikali kupunguza mawazo na wakishakuja huku hapa sasa zinaibuka tabia nyingine mpya kabisa kuanzia udokozi,uwizi, umalaya kwa watoto wa kike nk.
Pesa inafanya kijana ashindwe kumudu kusoma anachokitaka mfano masomo ya sayansi mwisho wa siku anasoma kitu ambacho hakikuwa katika ndoto zake, kwa watoto wa matajiri huakikisha vijana wao wanasoma wanachokitaka hata iweje ikiwezekana hata kupeleka mtoto nje ya nchi kusoma.
Tukija upande wa biashara vijana wengi wana idea nyingi sana za biashara changamoto kubwa inakuja kwenye kupata mtaji wa kufanya hiyo biashara mwisho wa siku inabaki kuwa ndoto tu miaka nenda miaka rudi.
Pesa inaharibu future ya kijana angali mdogo kabisa na ndio maana asilimia kubwa ya mateja ,malaya ,wakabaji,wezi, wanatokea uswahilini ambapo asilimia kubwa maisha ni magumu.
Kuna kundi kubwa la vijana walikuwa wanauwezo mkubwa sana wa darasani lakini mwisho wa siku wanashindwa kutimiza ndoto zao za kielemu kutokana na ufukara unaowakabili mwisho wa siku stress zinawapelekea mpaka kuanza kutumia bangi,vilevi vikali vikali kupunguza mawazo na wakishakuja huku hapa sasa zinaibuka tabia nyingine mpya kabisa kuanzia udokozi,uwizi, umalaya kwa watoto wa kike nk.
Pesa inafanya kijana ashindwe kumudu kusoma anachokitaka mfano masomo ya sayansi mwisho wa siku anasoma kitu ambacho hakikuwa katika ndoto zake, kwa watoto wa matajiri huakikisha vijana wao wanasoma wanachokitaka hata iweje ikiwezekana hata kupeleka mtoto nje ya nchi kusoma.
Tukija upande wa biashara vijana wengi wana idea nyingi sana za biashara changamoto kubwa inakuja kwenye kupata mtaji wa kufanya hiyo biashara mwisho wa siku inabaki kuwa ndoto tu miaka nenda miaka rudi.