bitebo7
JF-Expert Member
- May 1, 2015
- 858
- 593
sawa nasubir nitashkuru kwa msaada wakoDownload cracked tu mkuu key huwezi kupata bure...
Au subiri jioni nikupe link ya crack file.
sawa nasubir nitashkuru kwa msaada wakoDownload cracked tu mkuu key huwezi kupata bure...
Au subiri jioni nikupe link ya crack file.
sawa nasubir nitashkuru kwa msaada wako
sawa nasubir nitashkuru kwa msaada wako
Graphics hapo inakuangusha mkuu.wakuu ninayo hp
i5-5200U (2.2GZ)
Ram 8
HDD 650GB
video graphics (4000HD)
naweza piga game gani la mpira latest
fifa 15 kurudi nyumamkuu Troublemaker
mashine yenye Core i5
Ram 8gb
intel Hd 46000
4th generation
unaweza cheza fifa gani ?
ninayo pes 17 ila nilitamani pes 18Graphics hapo inakuangusha mkuu.
Labda ujaribu kwa low settings kabisa.
Ila fifa 15 kurudi nyuma na pes 2017 kurudi nyuma unacheza bila shida.
sasa hiyo ni fifa 19 au giza....hahahafifa 15 kurudi nyuma
ukiforce kinatokea hichi ktk fifa 19 na 18
gpu ya pc yako ndogo mkuuninayo pes 17 ila nilitamani pes 18
fifa 15 kurudi nyuma
ukiforce kinatokea hichi ktk fifa 19 na 18
Ina hiz specificationfifa 15 kurudi nyuma
ukiforce kinatokea hichi ktk fifa 19 na 18
Gpu yako itakuwa uwezo mdogo.Ina hiz specificationView attachment 1165607
Nembo n i5 mkuuGpu yako itakuwa uwezo mdogo.
Ina gpu ipi?
Kuna nembo ya nvidia au AMD apo pembeni ya pc yako.
Pc yako haina gpu yenye nguvu mkuu. Tafuta fifa 15 tu au 14Nembo n i5 mkuu
Je fifa 16 ...?Pc yako haina gpu yenye nguvu mkuu. Tafuta fifa 15 tu au 14
{Halafu Fanya basi yale mambo yetu mkuu}
aahh bado bhanaaa...