PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Troublemaker

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
19,761
38,197
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-:
Latest patch (update transifer,kit,faces etc)
Tricks na
mengineyo mengi.

Binafsi kwa sasa nacheza zaidi fifa 23.


Update;

Final fifa 23 got crack

Imeshakuwa uploaded karibu site zote za torrents na direct link
IMG_20230908_190412_122.jpg
Screenshot_20230829-235132.jpg


Link



FC24 id hag94 niadd friend tukipige online..
 
Mkuu nkajua mambo haya upo vzuri sana ndo raha yetu hii Mkuu mm nacheza 2017 tho lina patch ya 2017 na jezi bt master league inanipotezea mda....nipo 2065
Kuna patch mpya nzuri san zimetoka mwezi wa sita na saba. But ujipange gb 4+

Ila kuna min patch ya mb 900+ na ni nzuri pia ya viwanja kuongeza mb 900+ pia.
Na kuna score board changer kila ligi inakuwa na score board yake around mb 300.

Zicheki hapa micano4u.org. uzuri patch zote zinakuwa na youtube video tutorials zake kama sio mtaalamu.
 
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-:
Latest patch (update transifer,kit,faces etc)
Tricks na mengineyo mengi.

Binafsi kwa sasa nacheza zaidi pes 2017( Nimeupdate next season 2018-2019.) Hii ni kutokana na kuwa ni jepesi na zuri kwa graphics. Likihitaji processor ya 2 duo, 1gb ram na mb512 vram.(gpu)
Kama umekwama mahali, tatizo lolote uliza hapa wadau tukujibu.
Nb:Game kwetu burudani kama burudani zingine.

KAKA... NIPE SITE ulipolitoa kaka ninashida nalo hilo
 

Similar Discussions

20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom