iokote
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 601
- 875
Hapo chini ndo kuna tatizo mkuu.
Nimepanga hatua kwa hatua kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Hakuna downloading yoyote inayofanyika mpaka hatua ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo chini ndo kuna tatizo mkuu.
Ninazo zote mkuu, nikijaribu ku extract kila moja inaniletea hivyo au kuna kitu nakosea??Mbona part 1 nayo hujadownload... Hakikisha kwanza part zote umedownload.
Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Ninazo zote mkuu, nikijaribu ku extract kila moja inaniletea hivyo au kuna kitu nakosea??
troublemaker
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimefanikiwa ku download patch ila niki extract ikifika mwisho inaniletea hivyo. Inataka volume na hiyo volume siijui naipata vp.
Cc troublemakerView attachment 1022047
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kuitengenezea folder lake?Browse kisha chagua part nyingine, ikigoma jaribu nyingine... Katika zile ulizodownload
Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Ukiextract automatic linakaa kwenye folder moja...
Samahani mkuu troublemaker hapa kidogo sijakuelewa.Mark part zote ( tia kivuli part zote) then right click kisha chagua extract here.
Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu troublemaker hapa kidogo sijakuelewa.
Nataka kweli kuonja radha ya fifa likiwa patched.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu troublemaker hapa kidogo sijakuelewa.
Nataka kweli kuonja radha ya fifa likiwa patched.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba link ya hii gameila nafurahi pes 2017 ndo game lao la mwisho jepesi likuwa na gb ndogo kama 3.4 tu kwa repark. Huku bado likiwa na graphics kali.
Ndo mana hata watu wa patch wanalipa ushirikiano sana.
Mkuu naomba link ya hii game
copy hilo file liitwalo game then kalipaste kwenye original game folderWakuu kuna ishu moja ninaiface, nina fifa 14 nilidownload kupitia nosteam nimeinstall vizuri ikawa ina play fresh ( Nili install kwenye local C- GAMES - Fifa 14)View attachment 1045291
sasa nimejaribu kudownload fifa 14 Next Season Patch 2019 kupitia micano4u na nika install kwenye hiyo hiyo directory kupitia instruction za kwenye video.
View attachment 1045299
Tatizo ni kwamba hakuna mabadiliko ninayoyaona kwenye game.kama wachezaji ni walewale hata graphics hazijachange sasa sijui tatizo ni nn?
Hizi ndo specifications za laptop yangu.
View attachment 1045301