the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 882
UEFA hamna asee na sidhani kama kuna mod. ila game tamu ila asee huwafungi kijinga ma cpu yanacheza balaa nimeshinda mech mbili tuu toka asubuhi
UEFA hamna asee na sidhani kama kuna mod. ila game tamu ila asee huwafungi kijinga ma cpu yanacheza balaa nimeshinda mech mbili tuu toka asubuhi
Cpu yako ipi.UEFA hamna asee na sidhani kama kuna mod. ila game tamu ila asee huwafungi kijinga ma cpu yanacheza balaa nimeshinda mech mbili tuu toka asubuhi
Hawa konami siku hizi viwango vimekuwa vikubwa kuliko hata fifa.Tatizo ram doh
Cpu yako ipi.
Wanaachaga upenyo wa patch na mod hawa. Lazma wajanja watatengeneza uefa mod tu. Tusubiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah nimeweka fifa 19 nikiweka controller zinaji bonyeza zenyewe nashindwa kucheza game sijui ni kwa nini nikiangalia controller ipo fresh tuu kwenye pes inacheza fres nimejarib controller 3 zimezingua zote nimejarib na ya ps3 haisomi kabsaa
ni wireless au wired jaribu kucheza ikiwa wired.dah nimeweka fifa 19 nikiweka controller zinaji bonyeza zenyewe nashindwa kucheza game sijui ni kwa nini nikiangalia controller ipo fresh tuu kwenye pes inacheza fres nimejarib controller 3 zimezingua zote nimejarib na ya ps3 haisomi kabsaa
wired mkuuni wireless au wired jaribu kucheza ikiwa wired.
hiyo error haijawahi kunikuta embu cheki youtube mkuuwired mkuu
nimecheki mkuu natumia hizi light wave twins usb controller ngoja nijaribu joys to keyhiyo error haijawahi kunikuta embu cheki youtube mkuu
mzee baba hii pc yako inaitwaje na bei yake ni shiling ngapi... kwa ya dukani na mtumba
unashingapi nikuachie hii boss na graphics card yake? dukan kwenye 1M na kuendelea me nlifanya buildingmzee baba hii pc yako inaitwaje na bei yake ni shiling ngapi... kwa ya dukani na mtumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninalo...msaada nipate gta v pc gam npo dar
bugatti
Njoo uchukue. Na mingine ninayo kama unataka.had mate yamenidondok napend san hiy game nisaidie nitaipataj kwako
bugatti