nauhakika asilimia 99 hujanunua ni game la wizi. na kila game la wizi lina style yake ya kueka hivyo ni bora ungerudi ulipo downloadia ukasome vizuri maelekezo au hata utoe link mtu akuangalizie.
halijaja na folder la crack?
Mkuu #Chief , sijaiba nimeliomba tu kwa rafiki yangu akanipatia lakini kama una jua namna ya kufanya naomba unisaidie mkuunauhakika asilimia 99 hujanunua ni game la wizi. na kila game la wizi lina style yake ya kueka hivyo ni bora ungerudi ulipo downloadia ukasome vizuri maelekezo au hata utoe link mtu akuangalizie.
halijaja na folder la crack?
Mkuu #Chief , sijaiba nimeliomba tu kwa rafiki yangu akanipatia lakini kama una jua namna ya kufanya naomba unisaidie mkuu
cd 2014 ni ngumu sana bora ya 2013
Mkuu #Chief , sijaiba nimeliomba tu kwa rafiki yangu akanipatia lakini kama una jua namna ya kufanya naomba unisaidie mkuu
ngumu kvp? kucheza au kuinstall?
ngumu kucheza