Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Tunaposema Pascal anamwombea msamaha Kabendera, kwani Kabendera kafanya kosa gani?Hiyo nayo ni fursa mkuu,
Pascal hajakosea naamini maana kikubwa hapo kilikua ni kumwombea tu Kabendera msamaha.
Tunaposema Pascal anamwombea msamaha Kabendera, kwani Kabendera kafanya kosa gani?Hiyo nayo ni fursa mkuu,
Pascal hajakosea naamini maana kikubwa hapo kilikua ni kumwombea tu Kabendera msamaha.
Kiasi siafiki maana kila mtu anamtazamo wake jamani japo du!!!! utata ni mwing maana sometimes kumwelewa Pascal Mayalla lazma unywe mafuta ya Kondoo.Paskali wewe kwa unafiki unapata mia ya mia
Kiasi naweza hisi nikwa nini.Kusemehe kwake ni kitu kigumu Sana, lakini wauaji na wabakaji ni rahisi sana
Ni Pascal ndo anamwombea msamaha ni si sisi, labda atuelezee yeye mkuu japo ni ngumu sana maana hata mahakama haijathibitisha bado hilo kosa mkuuTunaposema Pascal anamwombea msamaha Kabendera, kwani Kabendera kafanya kosa gani?
Kwa nini munapenda kutumia kabila kama kigezo cha urafiki? Haisaidii!Paschal, kwa kuwa wewe ndio chanzo cha kukamatwa Kabendera, naimani kuwa msukuma mwenzako jiwe atatenda miujiza kwa Kabendera.
Achana na hayo,kama ni hivyo ndio imemrudia huyo kibendera inamuumiza mara 100 kwa kusababisha kifo cha mama yakeNamalizia kwa kusisitiza karma is real na haina mswalie Mtume.
Hatutaki msamaha wowote ule! Yule mama aliomba kijana wake asamehewe mpaka akamwaga machozi lakini watu wakakaza shingo, leo amefariki kwa kukosa huduma ndio watu waombe msamaha? HAKUNA ABAKI HUKO NA LI MSAMAHA LAKE!