Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake

Mkuu nashukuru umenielewa nilulichozungumza.Hilo ni swali nilimuuliza kaka pascal nimeshangaa kumuona nyumbu fulani hapo juu hajaelewa nilichokua namaanisha anaanza kuita watu wapumbavu.


Nakubaliana na wewe Mh Rais utawala wake unatiwa doa kwa mambo kama haya leo nimeona clip ya yule kibajaji anazungumza kwa kutamba vitu vya hovyo sana.

Mwisho Awamu zote zilizopita hatujuwahi kushuhudia unafki kama awamu hii.
Mkuu kama ambavyo amachangia kukamatwa kwake basi anaweza kuchangia pia kuachiwa kwake, na imeshabainika wakosoaji wa serikali wanapewa hizi kesi ili kukomolewa unadhani bado hawajamkomoa kabendera kiasi cha kutosha. Aisee rais wetu Mungu utupe tu uzima tushuhudie mwisho wake Ila nahisi hautakuwa mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20191231_101235.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikitika kwamba unajifanya kutokujua mamlaka ya Rais aliyepo afrika,Hivi aliowasamehe DPP yalikua ni maelekezo ya nani au yalikua maamuzi//mamlaka yake.Mkuu usijifanye kipofu na utaalam wa sheria kwenye highest political legitimacy wa awamu ya tano,zungumzia utashi na sio sheria.
Hapa nakuelewa hususan maneno Kama "mamlaka ya rais aliyepo Africa "
 
Kila siku wafungwa na mahabusu wanafiwa wazazi,watoto na wenza wao kwa hiyo kama mazishi ni big deal ni vyema iwepo sheria ya kusamehe kila anayefiwa siyo watu maarufu tu.
 
Lengo lilishatimia,kumtia adabu Kabendera kwa kukosoa utawala wa mtukufu!
Mimi kwakweli kuna viumbe vikipatwa majanga,mimi nitagonga cheers!
Wamemtia adabu mpaka mama yake yey wa kwake anapata huduma pmj na uzee wake.Huu ni ubinafsi wa hali ya juu sn usio na element za kibinadamu
 
Una ushahidi upi kama ni yeye (EK) ndio mwandishi wa hizo makala? i. e., do you have any URL yeyote ya hizo makala?

Je hizo makala bado zinaendelea au la?

Kipindi kile opportunity ya kufanya plea bargain ilitolewa kwanini hakufanya hivyo instead yeye na lawyer wake wakatoa conditions huku watuhumiwa wengine wakifaidika na hio opportunity?

Lazima kuna kitu hakiko sawa hapa, either kuna watu ikiwemo lawyers wake wanampa EK ushauri mbaya au kuna watu wa nje ya nchi waliompatia promises za kusadikika.

Kwa mwenendo wa hii issue, sina shaka kuwa EK ataachiwa huru lakini nadhani hilo litatokea baada ya uchaguzi mkuu ujao, sometimes in 2021.

Ni vigumu sana kwa hao wakubwa wa huko magharibi kumtetea EK kwa sauti huku wakiwa complicit na utekaji na utesaji wa Julian Assange.

Makosa haya ni ya kubambikiwa lkn root ni makala zake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipotumiwa video ya Mama yake Kabendera kumuombea msamaha mtoto wake nilishindwa kuifungua kwani ingenitoa machozi.

Mama alifariki 2001 hapa Dar ninatambua umuhimu wake kwani nikiwa masomoni nje ya nchi siku zote alitamani kuniona na nashukuru Mungu nilimzika.

Rest in peace Mama Kabendera.
 
Laana nyingine ni za kujitakia tu. Sishangai kuona baadhi ya watanzania wakifurahi na kushangilia pale wenye mamlaka wanapo patwa na majanga.

Haiwezekani watu wamepewa dhamana ya kuwaongoza wengine, halafu mwisho wa siku wanajigeuza kuwa miungu watu! Hawataki kukosolewa, wanawabambikia kesi wapinzani wao badala ya kushindana nao kwa hoja!

Rest in peace bi mkubwa. Mungu atakulipia tu yale manung'uniko yako.
 
Hivi ground ya kumuombea msaha ni uandishi wake wa habari au kufiwa? Kama ground ni kazi yake wangapi wako mahabusu na hawajaombewa huo msamaha? Kama ground ya msamaha ni kufiwa, watu wangapi wamekua mahabusu na wakafiwa na hakuna aliejotokeza kufanya hivyo? Tunakokwenda tutataka sheria zipinde kisa tu anaekumbana nazo ni yule tunaempenda sana, swala la kifo cha huyu mama kwa sisi wenye imani tunaamin ni kifo kwa Mpango wa Allah na siyo mtu so tuache visingizio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom