wanasheria mnasemaje?
katika maajabu niliyoyaona nchi hii ni hayo ya PM Pinda, nadhan alikua hajui akisemacho
aliyeanzisha thread utafikiri naye yuko kwenye mgomo wa kutupa habari kamili. Rich Dad ni nani? katokea wapi?
waliopinda zaidi ni wale wanaotupa habari za Pinda nusu nusu kipande kwa kipande pasipo kueleweka.Pinda KAPINDA,mumsamehe bure!!
unafikiri kweli kama mwakyembe angakuwa kapewa sumu angekaa kimya basi atakuwa si mwakyembe ninayemfahamu mimi hajui kumung'unya maneno angesema tu. kukaa kwake kimya maanake ni ugonjwa wa Mungu.
Yeye mwenyewe ni mwanasheria.
Pinda KAPINDA,mumsamehe bure!!
mkuu usipotoshe,cheti cha udaktari anacho.Msingi wa yote ni kiburi cha madaktari kukataa wito wa mkubwa. Ndipo watanzania tumejulishwa Dr. Ulimboka mtu gani:
1. 2005 aliongoza mgomo Muhimbili
2.. Akasimamishwa na kupewa onyon kali na MAT
3. 2006 Rais akampa msamaha
4. Aliandika barua kwa MAT kuomba msamaha na kuahidi atajihusisha tena na migomo
5. Rekodi zinaonyesha mafunzo ya intern hajamaliza
6. Hana cheti cha udaktari
7. Ni mfanyakazi wa NGO ya UKIMWI
Hapo Pinda asilaumiwe bali Ulimboka ahukumiwe kwa kuwaburuza madaktari
Msingi wa yote ni kiburi cha madaktari kukataa wito wa mkubwa. Ndipo watanzania tumejulishwa Dr. Ulimboka mtu gani:
1. 2005 aliongoza mgomo Muhimbili
2.. Akasimamishwa na kupewa onyon kali na MAT
3. 2006 Rais akampa msamaha
4. Aliandika barua kwa MAT kuomba msamaha na kuahidi atajihusisha tena na migomo
5. Rekodi zinaonyesha mafunzo ya intern hajamaliza
6. Hana cheti cha udaktari
7. Ni mfanyakazi wa NGO ya UKIMWI
Hapo Pinda asilaumiwe bali Ulimboka ahukumiwe kwa kuwaburuza madaktari
mkuu usipotoshe,cheti cha udaktari anacho.
Msingi wa yote ni kiburi cha madaktari kukataa wito wa mkubwa. Ndipo watanzania tumejulishwa Dr. Ulimboka mtu gani:
1. 2005 aliongoza mgomo Muhimbili
2.. Akasimamishwa na kupewa onyon kali na MAT
3. 2006 Rais akampa msamaha
4. Aliandika barua kwa MAT kuomba msamaha na kuahidi atajihusisha tena na migomo
5. Rekodi zinaonyesha mafunzo ya intern hajamaliza
6. Hana cheti cha udaktari
7. Ni mfanyakazi wa NGO ya UKIMWI
Hapo Pinda asilaumiwe bali Ulimboka ahukumiwe kwa kuwaburuza madaktari
katika maajabu niliyoyaona nchi hii ni hayo ya PM Pinda, nadhan alikua hajui akisemacho