Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Jamani.. katika pita pita yangu nasikia kuna kashfa kubwa fulani ya masuala ya tenda na uendeshaji wa hili dubwasha. Naomba mnaojua mtusaidia kulichambua nani analisupply uhai wake, kwa vipi na kwa uwezo wa nani.. What do we know about it.. Nani ametajirika na uwepo wa dudu hili ambalo kwa juu linaonekana ni la kitaalam sana lakini ndani yake lina mambo ya kijima - kama inavyodaiwa?