Permanent secretary?

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Jamani mnijuve kuusu hawa permanent secretaries ambao nasikiaga raisi akiwateua ktk wizara mbali mbali. Inamaana hawa watakaa ofisini maisha yao? Au hiyo 'permanent' hapa maana yake nini!
 
Jamani mnijuve kuusu hawa permanent secretaries ambao nasikiaga raisi akiwateua ktk wizara mbali mbali. Inamaana hawa watakaa ofisini maisha yao? Au hiyo 'permanent' hapa maana yake nini!

Mhhh....Umenifurahisha sana Triple9..
Lakini hata mimi hii kitu inanitesa kidogo, ingawa najua kwamba Permenent Secretary yeye hatokani na wabunge kama ilivyo kwa waziri, na yeye ataendelea na kazi tu mpaka hapo atakapoharibu mwenyewe..., wakati waziri akikosa ubunge ndo mwisho wa nafasi yake...ISTAND TO BE CORRECTED!
 
Permanent Secretary[senior civil servant] ni mtendaji mkuu wa wizara [Accounting Officer] ambaye wadhifa wake hautokani na siasa kama ilivyo kwa waheshimiwa mawaziri.Neno permanent secretary halina maana kwamba watatakiwa kukaa mawizani maisha yao yote hilo ni jina tu mwanzoni walikuwa wakiitwa Principal Secretary, kwa nchi nyingine za jumuiya ya madola wanaitwa Secretary General,Director General au Principal Secretary.
 
Mhhh....Umenifurahisha sana Triple9..
Lakini hata mimi hii kitu inanitesa kidogo, ingawa najua kwamba Permenent Secretary yeye hatokani na wabunge kama ilivyo kwa waziri, na yeye ataendelea na kazi tu mpaka hapo atakapoharibu mwenyewe..., wakati waziri akikosa ubunge ndo mwisho wa nafasi yake...ISTAND TO BE CORRECTED!

Nadhani upo sawa. Hawa ndo wataalamu hasa katika wizara. Waziri kazi yake ni kuleta policy ya Chama chake na hawa ndo wanaofanya kazi ya ku-implement hiyo policy. Kwa hiyo Chama kikisema tutapunguza kodi katika kampeni - policy, wakishinda uchaguzi na kuunda serikali, itakuwa kazi ya waziri wa fedha kuhakikisha hiyo policy inafuatiliwa na kazi ya hawa ni kutekeleza hiyo policy. Na kama ikishindikana, wao ndo wanaomueleza waziri na yeye anapeleka katika Baraza la Mawaziri, na kuangalia uwezekano mpya. hawa wanatakiwa kutokawa na affiliation na Chama chochote. Sidhani kama hii ni kweli kwa Tanzania. Ndo maana nahofia kukija Chama tofauti, kitapata wakati mgumu wa kufanya kazi maana itabidi kubadilisha hadi hawa.
 
Permanent Secretary[senior civil servant] ni mtendaji mkuu wa wizara [Accounting Officer] ambaye wadhifa wake hautokani na siasa kama ilivyo kwa waheshimiwa mawaziri.Neno permanent secretary halina maana kwamba watatakiwa kukaa mawizani maisha yao yote hilo ni jina tu mwanzoni walikuwa wakiitwa Principal Secretary, kwa nchi nyingine za jumuiya ya madola wanaitwa Secretary General,Director General au Principal Secretary.

Hapo mwanzo baada ya uhuru walikuwa wakiitwa Principal Secretary. Sijui kwanini jina la cheo hicho lilibadilishwa na kuwa Permanent Secretary. Ili kuondowa utata kama alionao Tripo9 lile jina la zamani lingerudishwa.
 
Permanent Secretary ( Katibu Mkuu) kama Civil Servants wote ni permanent kutokana na kuwa watakuwepo hadi kustaafu ili mradi haharibu au mwenyewe kutokutaka kuendelea na kazi. Hata akiharibu inabidi tume ikae na kupitisha kuondoshwa kwake kazini. Ndiyo maana waheshimiwa wanaposimama majukwaani na kuwaambia Civil servants kuwa watawafukuza kazi ni makosa maana uwezo huo hawana. Wanachoweza kufanya ni kuwahamisha au kumuagiza katibu mkuu aanze taratibu za kumfukuza. Katibu Mkuu halazimiki kumtii kama anaona ni uonevu.

Amandla......
 
Jamani hawa makatibu wakuu mfano hizi ajira za juzi barua inatakiwa cheo chake kiandikweje?! "permanent Secretary" au General Secretary? Ipi sahihi?!

Wajuvi wa mambo tafadhali.
 
Permanent Secretary[senior civil servant] ni mtendaji mkuu wa wizara [Accounting Officer] ambaye wadhifa wake hautokani na siasa kama ilivyo kwa waheshimiwa mawaziri.Neno permanent secretary halina maana kwamba watatakiwa kukaa mawizani maisha yao yote hilo ni jina tu mwanzoni walikuwa wakiitwa Principal Secretary, kwa nchi nyingine za jumuiya ya madola wanaitwa Secretary General,Director General au Principal Secretary.
Ipi sahihi boss kwa nchi yetu kati ya General secretary na Permanent secretary?
 
Back
Top Bottom