Perfume /spray

Ukiwa unaenda feri upande wa kulia opposite na mahakama kuu

Zinauzwa pafyum i mean perfume kwa buku tu ukipaka unanukia wiki nzima swaafi kabisa
 
Ommy my friend perfume ya 150,000 si ni hizi za kawaida sana zinatumiwa na kila mtu? Jichange chukua perfume angalau 500,000 - 900,000 hapo unaweza pata nzuri kidogo. Mi ninayo moja ya bei rahisi ya tsh 400,000 hii huwa naitumia napoenda GYM au beach. Lakin nyingine zinafika mpaka Mil 1 plus hizo ofisin na mitoko

 
mkuu unanunua uwanja au perfume. ww ungekuwa na iyo hela siungehama dunia uishe huko Pluto au Mars lol
Ommy my friend perfume ya 150,000 si ni hizi za kawaida sana zinatumiwa na kila mtu? Jichange chukua perfume angalau 500,000 - 900,000 hapo unaweza pata nzuri kidogo. Mi ninayo moja ya bei rahisi ya tsh 400,000 hii huwa naitumia napoenda GYM au beach. Lakin nyingine zinafika mpaka Mil 1 plus hizo ofisin na mitoko
 
Kweli watanzania wengi ni maskini. Kama unaaamini perfume ya 550USD inakufanya uhame duniani basi Umaskini uliopo ni wa kiwango kikubwa sana kuliko inavyosemwa.

Nmesikitika sana.... Sasa ukiona magari yangu n.k badala ya kuhamia pluto si utataka nikuoe uhamie kwangu?

mkuu unanunua uwanja au perfume. ww ungekuwa na iyo hela siungehama dunia uishe huko Pluto au Mars lol
 
yaani ni unfair kubreath same oxygen na ss walala hoi .u derseve flavoured oxygen. inaonekana unaishi Kwa ndoto pole sana mkuu .na swala la ndoa inapendeza ukaoe mama yako.
Kweli watanzania wengi ni maskini. Kama unaaamini perfume ya 550USD inakufanya uhame duniani basi Umaskini uliopo ni wa kiwango kikubwa sana kuliko inavyosemwa.

Nmesikitika sana.... Sasa ukiona magari yangu n.k badala ya kuhamia pluto si utataka nikuoe uhamie kwangu?
 
Maisha yamekugonga sana.... Hapo unaweza jipelekea ukaolewe hata na mtoto wa bakhresa....😁😁😁😁

yaani ni unfair kubreath same oxygen na ss walala hoi .u derseve flavoured oxygen. inaonekana unaishi Kwa ndoto pole sana mkuu .na swala la ndoa inapendeza ukaoe mama yako.
 
Maisha yamekugonga sana.... Hapo unaweza jipelekea ukaolewe hata na mtoto wa bakhresa....
mkuu utanifanya nipigwe ban humu .do me a favour usilete uzi za kisenge nitakutukana . wenye hela zao hawaongei. Acha misifa wanaume hawajisifu. au ww upo kwenye list ya dudu baya. (oil chafu )
 
Kweli watanzania wengi ni maskini. Kama unaaamini perfume ya 550USD inakufanya uhame duniani basi Umaskini uliopo ni wa kiwango kikubwa sana kuliko inavyosemwa.

Nmesikitika sana.... Sasa ukiona magari yangu n.k badala ya kuhamia pluto si utataka nikuoe uhamie kwangu?

tajiri wa jf
 
mkuu utanifanya nipigwe ban humu .do me a favour usilete uzi za kisenge nitakutukana . wenye hela zao hawaongei. Acha misifa wanaume hawajisifu. au ww upo kwenye list ya dudu baya. (oil chafu )

Don’t take it serious bana sisi wenyewe tumechoka nyuzi za kimaskini
 
Back
Top Bottom