Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,220
Zara...hope utaipenda mwenzaUnaninunulia ipi sasa mwenza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zara...hope utaipenda mwenzaUnaninunulia ipi sasa mwenza?
Mie ilimradi ninukie mwenza.Zara...hope utaipenda mwenza
Na ndio maana ya utuli mwenza shuti unukie..nani anataka utuli wa kupeperuka...?Mie ilimradi ninukie mwenza.
Na ndio maana ya utuli mwenza shuti unukie..nani anataka utuli wa kupeperuka...?
Tafuta kurusumu teh teh
😂😂😂hatarii mwenza,.bora hata uogee Ayu utanukia kuliko hizo perfume mpeperuko
Eti kupeperuka.
hatarii mwenza,.bora hata uogee Ayu utanukia kuliko hizo perfume mpeperuko
Hadi mtaa wa 7 wanajuaa🤣🤣🤣 Ayu na mwenzie give siju givuu...lol
Daah nimezimis ayu.
Hadi mtaa wa 7 wanajuaa Ayu na mwenzie give siju givuu...lol
Habar, wana jf naomba kujua perfume au spray yenye harufu nzuri ambayo inakaa kwa mda mrefu kidogo bila kupotea unapoitumia
N.B bei yake isiwe more than 15 , naomba mwenye kujua anitajie jina na bei , ahsante..
Huna akili ujuee🤣🤣🤣🤣nyau wewe....hiyo 200k ujue mshahara wa mtu per month???we jishaue tuu😂
Wewe si mdio ulimpa yule askari 200,000???Hamna mtu anaweza ishi hata kwa siku tano kwa tsh 200,000 my dear. Ni ngumu sana acha kwa mwezi
Jahhahahahhaahhahahhahhhhahhahahhahhahhshahhahahhahahhahahhahahahhahhahahahhahahahahahahhahahahhahhhaahhahahahaha.Labda vile vi perfume vya Kissuna vya sh. 500
Wewe si mdio ulimpa yule askari 200,000???
Jahhahahahhaahhahahhahhhhahhahahhahhahhshahhahahhahahhahahhahahahhahhahahahhahahahahahahhahahahhahhhaahhahahahaha.
Dah huwa napita na kusoma comment post nyingi ila hii nimeshindwa kuvumilia.
Umenivunja mbavu sana.
Mimi pia nilikuambia jambo,.hukuliona??Utasababisha tena watu wakasirike maana hawapendi jambo hilo lisikike. It was nothing...yeaahh... Alisema hana pesa ya maji... So it was nothing.
Ulivyocheka bila shaka naww unapenda "usunna"😂😂😂Jahhahahahhaahhahahhahhhhahhahahhahhahhshahhahahhahahhahahhahahahhahhahahahhahahahahahahhahahahhahhhaahhahahahaha.
Dah huwa napita na kusoma comment post nyingi ila hii nimeshindwa kuvumilia.
Umenivunja mbavu sana.
na ww unavijua ee