Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

kupaka perfume ni kutokujiamini harufu ya mwili wako.unahisi unanukia kama nguruwe? be natural !!!!!!!
 
Kama ww huna hela zakununua perfume usitie ila kwa wenye uwezo! Ww chako cha kufanya ni kuvuta harufu tu na kukaa kimya kama paka!
 
wewe nawe ni wale wale...tatizo ni mnunuaji sio mtengenezaji. kwa kuwa sumu zinauzwa utaenda kununua unywe? na je utamshtaki mtengeneza sumu?

Kama tatizo ni mnunuaji kwa nini TFDA wanakimbizana na wauzaji?
 
Zitakuwa za bei rahisi hizo... kuna ile imechorwa mwanamke amejitanda ushungi, boksi lake ni la purple ni balaa...house gril wangu alikuwa anatatumia, nilishindwa kuvumilia, ikabidi nimnunulie body spray atumie ili aachane na ile perfume.

Mi napenda perfume inayokaa muda mrefu, ila sio inayonukia mpaka kero ila nahisi watu wengine sense zao za ku-smell hazifanyi kazi vizuri, maana ananukia mpaka ananuka!!

Inaitwa KULTHUM mkuu....
 
habari wana JF

kuna jambo huwa linanitatiza. unakuta mtu anajipulizia perfume kali kupitiliza, akiingia ofisini watu mnaanza kupiga chafya. akiingia kwenye daladala, basi ukishuka tayari una mafua, akipita coridoni lazima aache alama siku nzima.

hivi kweli huu ni ustaarabu? hivi kila mtu akipuliza perfume hivyo kutakalika kweli?

watu tujirekebishe.

what is good for u may not be good for everyone.

Good day.......

Nadhani anakuwa amejipulizia kupitiliza kiwango, hakuna perfume kali kiwango cha kukufanya ulete malalamishi hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom