Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Inaitwa Givenchy.
Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu.
Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua.
Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa.
Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory na mm kisa perfume tu.
Nlikua napendwa mpaka na ma class teacher, kina madam fulan fulan kibao tu. ma denti wenzangu ndo usiseme.
Perfume ni nzuri. Kama una hela kainunue.
Mm na shemeji yako wote ndo brand zetu, kuna for men and for women.
Kazi kwako boss
Duh,kuna mtu aliniambia ni laki 5,OG...inawezekana aisee! Ile kitu ni nomaaa
 
Mimi natumia Brown Orchid huyu mnyama namkubali Sana Huyu hajawahi kuniangusha
 
Wanawake ama wasichana? Sijui kama kuna mwanamke aliyekomaa anayewaza mambo ya perfume.
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia

Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu

Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration

Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?
 
Naomba tusaidiane maduka ya perfumes og Dar. Nimegundua feki ni nyingi kuliko OG na unauziwa bei zilezile
 
Hii kitu ni balaa kuna mdadake mshkaji wangu alinambia, ulikua uki ondoka home ktk koch harufu haishi hata 2days,!!
polosport(0).jpg
 
Wengine wanapenda zaidi natural smell ya mtu kuliko ya perfume.
 
Inaitwa Givenchy.
Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu.
Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua.
Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa.
Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory na mm kisa perfume tu.
Nlikua napendwa mpaka na ma class teacher, kina madam fulan fulan kibao tu. ma denti wenzangu ndo usiseme.
Perfume ni nzuri. Kama una hela kainunue.
Mm na shemeji yako wote ndo brand zetu, kuna for men and for women.
Kazi kwako boss
ina maajabu gani mpaka inauzwa laki nne au ndo brand
 
Back
Top Bottom