Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia
Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi kwao wao wanataka wanaume wenye perfume hata kamani jasmine wao twende tu
Wapo wengine kuna perfume na perfume wao atleast cologne kwa mbaali ndio itaamsha consideration
Kwa upande wako wewe ni aina gani ya perfume inakupa mzuka kut8ka kwa mwanaume?
Sema tu BAK mwenyewe yupo Poa sio muongeajii Kama akina kaka Jambazi ukosee usemee mremboo mbona utafunga Account ya JFUkiwa JF epuka kutumia maneno tatanishi...ona sasa umemuita mrembo mwanaume mwenye tunguli mbili na asumani jicho moja...
Kuna perfume ambazo ya kiarabu nzuri sana hazina spirit, zipo za kike na kiume, makabila ni mengi, perfume zake zinanukia hal uddi, yaani hio ukipuliza hata kama mbaya kama jiwe utatongozwa au kama mwanaume utachekewaMiye 'kuruthumu' tu inanipa mzuka! Loh!!
HahahahahUsisahau kumnunulia na RAID insect killer. Makwapa wakati mwingine yanficha wadudu.
Kumbe wa kitambo tupo wengi!Yolanda na Ayu akinukia hizo akuuu burudaniiii kwangu
Hahaha hahahaPamoja na kutumia perfume, lakini pia lazima ujiweke sopsop kwa sana. Sio unajipulizia perfume na mikwapa hujanyoa..... au mara nguo nazo sijiui nini....., hapo itakuwa shida badala ya harufu nzuri utanuka kibeberu - mbuzi.
Kila mtu na taste yake, mimi binafsi perfume za kunukia kama JINI sizipendi kabisaaaPerfume za kizungu sijui boss, Beckham, ck hazina mpango wowote, nendeni arabuni perfume zake bab kubwa, ukitaka hizo ulizia maduka ya vipodozi ya wapemba ndo wenyewe wanayo yajua. Yapo ya kike na kiume, pia body spray za kiarabu mashallah.
Body spray kwa ajili ya mwili na perfume kwa ajili ya nguo, kuna watu wanatumia tu bila ya mpangilio.
Kuna lotion nzuri inaitwa Rinju, harufu yake bab kubwa, yaani lazima mtu akundande
Kumbe wa kitambo tupo wengi!
Kwanini ulicheka?Kuna siku niliingia pale mwenge puma petrol station kwenye kile ka min shop yao nikakuta mafuta ya Yolanda nilicheka hadi wahudumu wakanishangaa, nikanunua kimoja baada ya 2 days naende kumchukulia mtu nikakuta vimeisha